Mimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
Nimemwambia sababu ana mashaka na jinsia za watu
Hajui kama wadada wa humu ni wadada/wamama kweli Hivyo hawana maigizo ya jinsia
Mtu tumechat hapa kwa miaka miwili kama mtu anaingiza/zuga si tungeshamjua
.....
Nimemwambia sababu ana mashaka na jinsia za watu
Hajui kama wadada wa humu ni wadada/wamama kweli Hivyo hawana maigizo ya jinsia
Mtu tumechat hapa kwa miaka miwili kama mtu anaingiza/zuga si tungeshamjua
.....