Mkuu watu wanafahamiana nje ya jfIsomeke "kumbe" badala ya kumbu
ReallyYou are missed..
[emoji257]Really
Mdau humu tupo/wapo wanaofahamiana kabisaMimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mdau humu tupo/wapo wanaofahamiana kabisa wengine wanajuana hadi vikojoleo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivyo humu ondoa shaka hakuna majikesume labda tu wanaokuja mara mojamoja
.......
Corrections..2016Mdau humu tupo/wapo wanaofahamiana kabisa wengine wanajuana hadi vikojoleo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivyo humu ondoa shaka hakuna majikesume labda tu wanaokuja mara mojamoja
Kumbuka thread hii ilianza mwaka 2015
.......
Nimemwambia sababu ana mashaka na jinsia za watu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bitoz wewe!
Eti vikojo...
Sahihi sanaNimemwambia sababu ana mashaka na jinsia za watu
Hajui kama wadada wa humu ni wadada/wamama kweli Hivyo hawana maigizo ya jinsia
Mtu tumechat hapa kwa miaka miwili kama mtu anaingiza/zuga si tungeshamjua
.....
Kaka[emoji257]
MmmmhMdau humu tupo/wapo wanaofahamiana kabisa wengine wanajuana hadi vikojoleo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivyo humu ondoa shaka hakuna majikesume labda tu wanaokuja mara mojamoja
Kumbuka thread hii ilianza mwaka 2015
.......
Corrections..2016
DadanguKaka
Sa Unashangaa nini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bitoz wewe!
Eti vikojo...
Mafanikio makubwa, nyuzi nyingi zilianza kwa mbwembwe na zimededi, kf inadunda tuNi kweli hivyo mwaka mmoja siyo haba
...
Ni venye nakupenda tuuDadangu
Na wewe pia?Sa Unashangaa nini
[emoji255]Ni venye nakupenda tuu
[emoji3][emoji3]Sa Unashangaa nini
Aibu naona mieeeNa wewe pia?