Naona jina limekuchanganya, labda hijasoma 1 na 3.
Waliojiita makapuku haimaanishi ni maskini bali ni wale waliojiunga jf from 2014 up to date, wale wasiokuwa naajina makubwa na wenye likes chache na sio maskini.
Hata kama Mengi kajiunga mwaka jana kwa mujibu wa uzi huu ni kapuku