Makapuku Forum

4/Colombia
Wakati Wabrazil wanajulikana kwa kushika ukristo kiasi cha kumjengea sanamu Yesu Kristo ndugu zao akina Radamel Falcao na James Rodriguez wao wamejikita katika kuabudu uchawi na ushirikina zaidi
Nfano kituo cha FOX kiliripoti mwaka 2012 kuhusu mwanamke wa Kicolombia kuuawa kwasababu za kishirikina ...watu walimchoka maana Alikuwa akiwatokea wanakijiji usiku wa manane kichawi
Hivyo ili kuepuka mauzauza wakansaka na kummaliza
......
 
aiseee me nilivyo muoga hizi mambo nisikie tu kama hivi
 
Huyu mzee ana sura ya kazii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…