Ya kweliii hayo??I seee! Hatari...upo mwaka pale KIBAHA..wakati wabutawalabwa Che...Nkapa walikuja watu na barua toka ikulu kuwa watoe wachawi..serikali za mtaa zisimamie..jamani niliona maajabu kwa macho yangu ..walikua da dawa unakunywa na unalipa elfu moja waliokataa wote walikufa..waliokunywa na kurudia wote hawapo,waliokunywa na kuacha uchawi wengi walifilisika hakika haya mambo uyasikie tu...
Mukongoooooo mama mchuchu jamaan alikuwa anakuwaza siku zote ambazo haupo leo kama namuona meno yote njeEid mubarak
9/TanzaniaUkitaka kujua Watanzania wengi wanaamini katika ushirikina kuliko kumwamini Mungu basi fuatilia thread za njemba fulani zinavyoshabikiwa na hadi kuitwa sijui member mwenye busara zaidi JF kisa tu anaandika zaidi ushirikina na Hivyo kawa maarufu na kuwateka watu
Usijiulize kwanini mauaji ya albino hayakomi...sababu tu tumejikita kwenye ushirikina
Fulani watu wanaweka vipande vya mkaa eti kujikinga na chuma ulete...makanisani nako wachungaji feki wana nguvu za giza
Wanasiasa nao washirikina
Watanzania ni washirikina balaa ndiyo maana CCM haitoki madarakani
.......
Mukongoooooo mama mchuchu jamaan alikuwa anakuwaza siku zote ambazo haupo leo kama namuona meno yote nje
Baba D vipii tena jamaan
Woyoooooooooooooooo
Bhinamu kakumisBaba D vipii tena jamaan
Mukongoooooo mama mchuchu jamaan alikuwa anakuwaza siku zote ambazo haupo leo kama namuona meno yote nje
Nimemmiss pia binamu yangu jamaan na ninavyompenda sasa nimemuona kwa mbaliii safari ya kwenda kwa mama mchuchu ipoBhinamu kakumis
Mimi ndioaf wewe!!!
HatutakiiiNimemmiss pia binamu yangu jamaan na ninavyompenda sasa nimemuona kwa mbaliii safari ya kwenda kwa mama mchuchu ipo
Baba D usiniambie mnaniachaHatutakiii
Ni kweli me na Baba D tunakulana mshkaji wangu sie hatuact ujue