Hahaha nakumbuka vibuti enzi zetu, mara umemwagwa, mara mnarudiana, yaani ilikuwa fujo tu maadam uzi uende.Waje wote tuwape wosia kuhusu maisha ya ndoa hahaha
Hahahaha jambilo si ndio huyu jamaa auHumu ndani Jambilo ndo Alikuwa mgomvi wangu # 1 jamaa mwanzo nilikuwa simwelrwi kabisa ila baadaye tukaanza kuelewana
Tatizo ni watu kuishi kwa maigizo na kujifichaficha kama panya ila yupo/wapo baadhi wanafahamiana
Mimi kabla ya kuanza kuwa na urafiki na mtu huwa nausoma mwandiko wake kwa umakini kupitia post zake hapa na thread mbalimbali na hapo napata mwanga ni mtu wa aina gani....nikinusa harufu ya majangamajanga "nampotezea"
........
Niko poa hapa mkuu wangu, yule kiumbe mrembo wako MAADAM S mzima?Mambo fresh, uko poa
Huyu jamaa aling'oa chombo kipya..maadam sSana yani. Wapi wifi lakini??
Yupo JF + IbraJimena my sister, hivi sizzyo7 kama sijakosea jina sijui naye kapotelewa wapi
Sana yaniHahaha nakumbuka vibuti enzi zetu, mara umemwagwa, mara mnarudiana, yaani ilikuwa fujo tu maadam uzi uende.
Sikilizia wakati wa kuweka rekodi sasa mfano 100k, yaani hakuna kulala kila mtu anarusha mkuki na tunasahau ku like.
Siku hazigndi na hazirudi lkn hutuachia kumbukumbu chungu na taamu pia.
Yupo telenenda page # 1 angalia profile lakeHuyo ndio sijamuona kabisa... Halafu pia nimmemiss jamani
Mwandiko unategemea na uzi na uziHahahaha jambilo si ndio huyu jamaa au
Ila mwandiko nao usikudanganye ujue, si umeona ule Uzi kule
Mzima kabisa, hofu kwakoNiko poa hapa mkuu wangu, yule kiumbe mrembo wako MAADAM S mzima?
Hahaha yaani wewe umewahi kunipitisha sana, kisa kipande nilichokuwa naigiza plus jina vilikuwa vinakutatiza.Humu ndani Jambilo ndo Alikuwa mgomvi wangu # 1 jamaa mwanzo nilikuwa simwelrwi kabisa ila baadaye tukaanza kuelewana
Tatizo ni watu kuishi kwa maigizo na kujifichaficha kama panya ila yupo/wapo baadhi wanafahamiana
Mimi kabla ya kuanza kuwa na urafiki na mtu huwa nausoma mwandiko wake kwa umakini kupitia post zake hapa na thread mbalimbali na hapo napata mwanga ni mtu wa aina gani....nikinusa harufu ya majangamajanga "nampotezea"
........
HahahahahHuyu jamaa aling'oa chombo kipya..maadam s
Mod haunganishi (merger ID) kama hauItumii kuwakwaza/changanya watu au kutukana au magumashi mengine mfano kitapeliMi pia huwa naona it's okay tu mtu akibadili id ila kwa kesi ya Cobblepots naona ID zote zitaunganiswa na kuwa moja sababu ndio utaratibu.
NakwaminiaOf course tutayajenga nje ya wall hatuna haja na mamluki
Maana kapotea kabisa,Yupo JF + Ibra
Siku zote kwenye msafara wa mamba kenge pia wapo
Kuna baadhi walidandia tu thread mwanzoni ili kupata ujiko ....wale wa ukweli urafiki wetu uliendelea sasa mwaka wa pili huu na yupo imara na wengine kufahamiana kabisa
Wapo wazee wa fursa wamepata wake/waume/wapenzi kabisa
.....
Yupo JF + Ibra
Siku zote kwenye msafara wa mamba kenge pia wapo
Kuna baadhi walidandia tu thread mwanzoni ili kupata ujiko ....wale wa ukweli urafiki wetu uliendelea sasa mwaka wa pili huu na yupo imara na wengine kufahamiana kabisa
Wapo wazee wa fursa wamepata wake/waume/wapenzi kabisa
.....
Sio mchezo ujueMwandiko unategemea na uzi na uzi
Ni kweli sisi kama binadamu kila mmoja ana mapungufu yake...kadri tulivyokaa pamoja ndo tulizidi kukomaa na mifarakano kupunguzaHahaha yaani wewe umewahi kunipitisha sana, kisa kipande nilichokuwa naigiza plus jina vilikuwa vinakutatiza.
Nilichojaaliwa sinaga kinyongo ilibidi nichukuliane nawe hivyo hivyo hadi ulipoanza kunielewa.
Ilikuwa ni muvi flan amazing, zile siku ziliweka rekodi ya aina yake mkuu
Nilichojifunza kwa BITOZ ni kusimamia anachokiamini hata kama watu wanakipinga