Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Christmas
c7756d0441c2f4ee980e978688964922.jpg
34171b2dd9145a5259e60a35ee89284b.jpg
9a7bef8796a7f7b369d31daa286cd52b.jpg

Husherehekewa Disemba 25
Wakristo duniani note husherehejea kuzaliwa kwa mwokozi Yesu Kristo .....Alizaliwa na Bikira Maria(Mariamu} baada ya kupata mimba kupitia uwezo wa Roho Mtakatifu{usiniulize zaidi)
Inasemekana iliwekwa makusudi Disemba 25 ili "kuifunika" sikukuu ya wapagani ambao walikuwa na kasherehe kao kila inapofika Siku hiyo
Huko Korea Kaskazini huruhusiwi kusherehekea sikukuu hii na ukikamatwa na bwana mapanki kitakachokupata mimi sijui
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom