Makapuku Forum

Kuna kikundi tuliungana kwa ajili ya LEGAL ISSUES tukajinyima kwa michango na kuandika PROJECT za kufa mtu ...baada ya kukamilisha si jamaa wakaingia mitini kimyakimya na kufungua kampuni ya watu wa5 na kujiita FOUNDERS
Yaani wameiba jasho,pesa na mawazo yetu
Lakini naamini MAFANIKIO HAYAPATIKANI KWA DHULUMA...wakikwama watatukumbuka coz Umoja ni nguvu
Lkn tushawapotezea
Usimuamini mtu issue za pesa

....................
 
Polen sana..Hakika uaminifu umekuwa ZERO kabisa siku hizi ila Bitoz hoja hapa imekuja kwamba kwa wingi wetu hapa na umoja tuliouonyesha kama KUPUKU ni nin tunaweza anzisha ikiwa ni faida ingine kwetu mbali na hii ya kuwa pamoja na kujadili hoja hapa, Wazo lako tafadhali tupo kama Prezdaa CC youngblood
 
Mkuu huwezi kuepuka hasara, usipoingizwa chaka utapoteza kwa namna moja au nyingine, ck zote wanaoogopa hasara huwa hawapigi hatua zaidi kwani kila biznez ina risk zake. Kati ya watu 100 huwezi kikosa waaminifu 5.
Katika hili la ushirikiano wenye tija lazima pawepo ulinzi wa kisheria kwa kila member.
 
Labda chama cha siasa huko ndiko kidogo kuna uaminifu. Kwenye hela
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kabisa mkuu wangu na hata ikibidi kuwekeana udhamini...Ni poa kabisa..
 
Poleni sana

Nadhani Issue za hela ziwe zinafanywa kwa makubaliano ya kisheria sio kwa kuaminiana hivi hivi tu
 
Hakika hilo linawezekana na tutakuwa mfano wa kuigwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…