Makapuku Forum

 
Bhinamu kuna kipindi alikuwa anapiga namba ambazo umesave kwa kireno ...ndo nikamwambia aunt yako kuwa hasipokee ..bhas tu ila vizur imerudushwa kwa jitihada kubwaa


Yaani huyu nilipomwambia nakaa Mtwara basi yeye nanchingwea kuwa karibu na msumbiji basi akajiona mreno kabisa, ana yule kaka yake anajiita figo. haq hahahahahh

Imerudishwa kwa ushawishi mkubwa sana, niliahidi kumnunulia chachandu nyingine
 
Well ni kweli usemacho,

Aamyn Mungu awabariki waliokuja na wqzo hili la kuanzisha hili jukwaa

Sometimes hua nakuaga offline na hua siachi kuzurura hapa

Naipenda segment ya historia

Kuhusu mpenzi hilo hata sina usemi Mungu atusimamie milele
Muhimu malengo yetu yametimia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…