Makapuku Forum

kuna movie niliicheck ilikuwa ni majanga ya hawa samaki nikajua ni movie tu... kumbe hivo viumbe vipo kweli..!!
 
Kama vile yamechongwa acha Mungu aitwe Mungu...ndugu zangu wa Nchale naona wanachonga kwa mtindo huu
 
3/Dragonfish Samaki hawa huishi baharini kwenye kina kirefu......nafikiri wanapatikana Asia pekee kama jina lao Dragon
Ni samaki wenye uwezo mdogo wa kuona na pengine ni vipofu jsbisa hivyo hupendelea kuishi gizani zaidi ili kujilinda na maadui au pengine hawajui raha ya mwanga
Hawa samaki meno yao huota kwenye ulimi badala ya kwenye fizi
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…