Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Whales
fe26461ba35de7a1a285939e3d31dcd4.jpg
344ed448f3da9aaa32324b225a7a388f.jpg

Kuna aina nyingi za nyangumi
Kuna nyangumi ambao huota nywele sehemu ambayo hutakiwa kuwepo meno
Nywele hizo huota kama mustache,....hutaniwa kwa kuitwa whale mustache
Huwasaidia qakati wa kula/kunywa
.......
Hadi nyagumi ana sharubu
 
8Sheepshead
c5050571236d8b3a1f5592f591802944.jpg
cc1107cee27d0d5c1e76521a33398650.jpg
851f379760f1393ccf3739a3ae8aaaf3.jpg

Hawa ni samaki wenye domo la kushangaza
Domo lao lina meno kama ya binadamu yaani yanafanana kabisa
Wanapatikana huko Amerika Kaskazini hususani California
Tofauti yao na sisi ni idadi ya meno tu...vingine vyote mbwembwe
.....
 
9/Whales
fe26461ba35de7a1a285939e3d31dcd4.jpg
344ed448f3da9aaa32324b225a7a388f.jpg

Kuna aina nyingi za nyangumi
Kuna nyangumi ambao huota nywele sehemu ambayo hutakiwa kuwepo meno
Nywele hizo huota kama mustache,....hutaniwa kwa kuitwa whale mustache
Huwasaidia qakati wa kula/kunywa
.......
Kweli kabisa mkuu ...umenikumbusha Pakicetus ....huyu ndo whale kabisa wa kwanza ambaye anasadikika maisha ya nchi kavu yalimshinda ...
 
8Sheepshead
c5050571236d8b3a1f5592f591802944.jpg
cc1107cee27d0d5c1e76521a33398650.jpg
851f379760f1393ccf3739a3ae8aaaf3.jpg

Hawa ni samaki wenye domo la kushangaza
Domo lao lina meno kama ya binadamu yaani yanafanana kabisa
Wanapatikana huko Amerika Kaskazini hususani California
Tofauti yao na sisi ni idadi ya meno tu...vingine vyote mbwembwe
.....
Evolution ni pana kwelikweliii make zipo facts zinazoonesha kuna uwezekana wa ancestor kwa pande zote Mammalz na hii mijamaa wanashare common characteristics. ...
 
7/Venomous Snakes
38394f2f778279dd9437be9fb4f55207.jpg
b62f179de6581fa11f3bf19f860e6925.jpg
7c2dab3dd9a6ab9a9607cbb83168245a.jpg
Hawa ni nyoka wenye sumu venom
Meno yao yamechongoka na marefu
Yamechongoka kama sindano na hivyo kuwawezesha kuhifadhi sumu km sindano na kisha kuwadunga/ng'ata mawindo au adui zao
.......
 
6/Piranha
84c7f80f8364a0399cb1cf06e873250d.jpg
0a6aa5bfd3bd8715902e1b71efb04690.jpg
3a14d94b2441a97472aff50d2edfceae.jpg

Ni aina ya samaki anayepatikana huko Brazil kama jina lake linavyofanana na akina Ronaldinho
Ana meno makali yanayofanana na wembe ambayo humwezesha kupambana na maadui zake pamoja na mawindo
Qana uwezo wakumuua/kumchanachana ng'ombe kwa kutumia meno yao ndani ya sekunde kadhaa tu
.........
 
Huyu ni samaki aitwae nguva
Story kuwa amefanana n'a mtu hizo ni za kutungwa tu

Ila jua y'a Kwamba ni samaki mwenye aibu sana

Nguva mkubwa ana kilo kati y'a 500-1000
Mara nyingi akigundua Maeneo alipo ni Karibu n'a binadamu anahama kabisa kwenda mbali
08bce2d01cd4b29fef318c565d57db1a.jpg
a1937d8587b746e92630dd54eb9421ae.jpg
f6c65e3e1565e875dbf038bfe1592667.jpg
 
TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 22.06.2017
3d0d7cd210ca7ff1fa66962f211b2fd5.jpg



Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa, 28, atakaidi hatua ya Antonio Conte na kukataa kuondoka Stamford Bridge, hadi akubaliwe kurudi Atletico Madrid (Daily Star).

Diego Costa amewaambia Atletico Madrid kuwa anataka kurejea Spain. Kutokana na Atletico kufungiwa kusajili, hata akisajiliwa sasa hatoweza kucheza hadi Januari (Sky Sports).

Thibault Courtois hajasaini mkataba mpya, huku Real Madrid wakimnyatia. Kipa huyo wa Chelsea anataka mkataba wa pauni milioni 10 kwa mwaka (The Sun).

Real Madrid wanasubiri Manchester United kupanda dau la kumtaka mshambuliaji Alvaro Morata, 24, kabla ya mabingwa hao wa Ulaya kuanza kumfuatilia Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco (Diario Gol).

Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane atafikiria kuimarisha safu ya ulinzi kwa kumchukua Leonardo Bonucci kutoka Juventus. Zidane hana mpango wa kusajili mabeki wengine na atatoa nafasi kwa chipukizi ikiwa hawatoafikiana na Juve (Diario Gol).

Hatua ya Ronaldo kubadili mawazo ya kuondoka Real Madrid, imelazimisha Manchester United sasa kuzingatia zaidi usajili wa Alvaro Morata. Jose Mourinho tayari ametenga pauni milioni 60 na wanadhani watamchukua kabla ya mechi za kabla ya kuanza kwa msimu (The Sun).
Cristiano Ronaldo anafikiria kwenda Paris Saint Germain baada ya kupewa dau na klabu hiyo (Marca).

Jose Mourinho ameiambia Manchester United kuachana na Ronaldo na kulenga kumsajili Neymar badala yake (Don Balon).

Juventus wamepiga hatua za mwanzo katika jitihada zao za kutaka kumsajili Matteo Darmian kutoka Manchester United (Sky Sport Italy).

Kiungo wa Manchester City Samir Nasri anatarajiwa kupewa mshahara wa pauni 275,000 kwa wiki, baada ya kukatwa kodi, ili kujiunga na Shanghai Shenhua ya China (The Sun).

Manchester United wamekuwa na mazungumzo na wakala wa Robert Lewadowski katika jitihada za kutaka kumchukua mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Poland na Bayern Munich (Sky Sports)

Zlatan Ibrahimovic anataka kwenda Real Madrid baada ya kuruhusiwa kuondoka Manchester United (Diario Gol).

Mustakbali wa Robert Lewandowski kusalia Bayern Munich utategemea na matokeo ya klabu hiyo ya Ujerumani kutaka kumsajili mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez (The Sun).

Leicester City wanapanga kutoa pauni milioni 25 kutaka kumsajili mshambuliaji wa Manchester City Kelechi Iheanacho, 20 (Daily Telegraph).


Leicester wanafikiria hatua ya kuchukua baada ya West Brom kuwaambia watahitaji kutoa pauni milioni 10 ikiwa wanamtaka beki Jonny Evans, 29 (Leicester Mercury).

Chelsea wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo Tiemoue Bakayoko, 22, kutoka Monaco kwa pauni milioni 35, hatua ambayo huenda ikasababisha Nemanja Matic, 28, kuondoka na kwenda Manchester United (Daily Mail).

Sakata la Manchester City kumtaka beki wa Tottenham Kyle walker, 27, litaendelea hadi wiki ijayo baada ya Spurs kukataa kushusha bei ya pauni milioni 50. Hata hivyo City wataendelea kumfuatilia pia Dani Alves kutoka Juventus (Independent).

Manchester City wapo tayari kupokea pauni milioni 18 kutoka Lyon ili kumuuza Eliaquim Mangala. City walimnunua Mangala kwa pauni milioni 42 miaka mitatu iliyopita (SportsMole)
 
5/Snails
bfa30b876946f2a041d2e3c29c4cc721.jpg
1f7d68cdd7199e24dce4435eac2bc826.jpg
a3baf4cfd35b2a2960315f1149378c30.jpg

Konokono ndio wanyama wenye idadi kubwa zaidi ya meno duniani

Lakini meno yao hayana makali yoyote yaani kama urembo tu...saisi yao ni kunywea uji sio kuvunja mifupa
Konokono wana idadi ya meno 14,000
Na katika uhai wao huota meno karibia 25,000
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom