Makapuku Forum

Shemeji naamini heshima uliyokuwa nayo kati yako na EMMYGUY bado ipo pale pale na naendelea kuamini aggyjay still unamwita shemeji ama kama kuna tofauti nirekebishwe tu..
Ni kweli shemeji heshima yangu kwa kaka yangu EMMYGUY bado ipo palepale.
Kazi yangu mimi ni kumsaidia shemeji yangu aggyjay pale ninapoona brother hawezi kucheza part yake vizuri.
 
Hahahahah Shemeji najua tunaheshimiana sana nilikuwa nasubir ufafanuzi wa heruf ile A ina simama badala ya jina gani.. EMMYGUY toka juzi youngblood naona anakuwa mkorofi sana yaani akipita mahali lazima mtu alalamike kwa ajili yake..
Huyu jamaa naona haitakii mema ndoa yangu na kipenzi cha moyo wangu aggyjay.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…