Ha ha ha ha ha ha ha ha ungelimjeruhi wapii wakati ulinywea kama sisimizi mpaka nikatoa kale ka kisu nilikokuwa nimekachonga kwa ajili ya kuibia maembe ila tuliwawezaaa....Ha ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.
Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.
Si kazi rahisi ati
Sawa Baba D ila mwambie binamu hizo habari si nzuri kwa ukuaji wa kijachoHiii mama usiongee mengi[emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpendwa hii ya Leo Kali kuliko
[emoji253]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.
Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.
Si kazi rahisi ati
Bhinamu ile ya kule uitoeee make tulitoka kama sijui nnNitakuonesha picha ndo huamini,
Ha ha ha ha ha ha ha ha ungelimjeruhi wapii wakati ulinywea kama sisimizi mpaka nikatoa kale ka kisu nilikokuwa nimekachonga kwa ajili ya kuibia maembe ila tuliwawezaaa....
Ila bhinamu unakumbuka yule bint wa jiran aliyetoka advanced level shuleni ukajitutumua kumpiga mistariii....weee bhinamuu ukipanga wako umeuanzaa zamani dadekiiiii eti ukaniomba nikuandikie kwa kingereza .....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
halafu kumbe wewe mdau una mbwembwe na masihara kibao
hahah! nimeshamjua sasa...
wewe mbwembwe hauna au?
Ohoooo fumanizi teinaBhinamuu umenikumbusha mbali aiseeeeeh achana na hiyo ya VIP ...ila jessicar alikuwa kichwa hatariiiiii ...kitoto cheupeee sema unakumbukaa ile siku mmeshinda sijui mlikuwa mnaita kambi ...kitu cha ubwabwa kikapikwa kucheki uku na kule anko yako ata namba 17 siwez kudanganya kuchezaa ...ukajitosa kuniibiaa kitu cha ubwabwa ...achaa hiyoo ile komeshaa siku ya mechi na wale bad boys mlivowafungaa na wewwe ukatia 2 watuuuuu obe obe obe ....japo moja ulioteaa ...mpira kwisha wakakufumaniaa na demu wa beki waoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Binamu naomba uniwekee kipenda roho ya Dr Remmy OngalaMdau, kabla ya kujibu ngoja nicheke kwanza maana tayari ushaona nafanya masikhara kwenye kueleza mambo yangu ya zamani ambayo ni declassified.
[emoji38] [emoji38]Kweliiii kabisa
Walaaa mi sina kabisaahahah! nimeshamjua sasa...
wewe mbwembwe hauna au?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] binamu kwa mbwembwe kiboooko mpaka mkuu ameshangalaHiii huyu jamaaa vip ...unacheza na bhinamu wanguu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] obe MimiHa ahahhahahaha! Yule beki alikuwa noma sana mambo madogo tu akataka kuleta ubabe, usingekuwepo ningemjeruhi sana na yule dada nikaondoka naye kumalizia kumpa address yangu.
Si unajua hatukuwa na simu kwa hiyo kutoa address lazima uanze na
Obe Mimi
C/o Mjomba Lee
S.L.P .....
Nyumbani.
Si kazi rahisi ati
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]teh teh..nampa credit zake binamu kwa makeke yake
wewe macredit, yako yanabaki kuwa mutu ya (..........)
Basi mpendwa nishaaminiNitakuonesha picha ndo huamini,
........peremendeeeeeeeeeeezteh teh..nampa credit zake binamu kwa makeke yake
wewe macredit, yako yanabaki kuwa mutu ya (..........)
Bhinamu mbona unaanza kusahau ule wimbo ulikuwa nakumbuka wa westlife binamu tena ilo gazeti tuliliokotaa nkawa nakusomea ila tulimkomeshaaa mpaka tukamuomba yule big aturembishiee mwandikoooNakumbuka sana anko, ha ahahhahahaha, wewe si nilikuonesha ile barua aliyoniandikia kingereza mwanzo mwisho Mara to love you more na mengine mengi.
Ulipoisoma ukaniambia acha mchecheto kacopy wimbo wa Celine Dion.
Kwa kweli kwa kiinglish kile nilitaka kumuomba anipe talk yangu
Tunajikumbushiaa ya nyumaaOhoooo fumanizi teina
[emoji134]