Makapuku Forum

Huyu fundi fundi ndo alinipeleka kwa mkopo Darajani na nikajisajiri.

Ujue ni kutokuwa na records tu, hata mimi timu yangu ya kitaa imetunza jezi yangu kwa heshima maana two times tulishinda mbuzi mnyama cup na one time tukawa mabingwa wa kugombea jezi cup.

Utauliza jezi yangu namba ngapi!? Well, jezi haikuwa na namba, siku hizi jezi zina namba na isiyo na namba wameitunza kwa heshima yangu kiungo mkabaji.

Asante sana mpenzi msomaji
 
5/Sarah Knauss Alizaliwa tarehe 24 Septemba 1880
Ni bibi wa Kimarekani anayeshikilia rekodi ya Mmarekani mzee zaidi kuwahi kutokea
Enzi za uhai wake alikuwa ni mfanyakazi kwenye kampuni ya bima nchini humo Insurance worker
Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na umri wa miaka 119
........
 
hawakujii bhinamu vile vyanga vyako amaiziiiing ....ulikuwa unatishaa

Sema ulikuwa unanogaa ukisikia kisauti cha Jesca wa primary 'usiniumizieeeee'

Utaniambiaa alienda wap
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…