Asante Mussolin1. Paolo Maldini ( Ac Milan #3 )
Miaka 25 akiwa na Milan huku akitwaa mataji 26 ilitosha kabisa kustaafisha jezi ya Nahodha huyo mwenye mafanikio zaidi klabuni hapo.
Mwisho
Aisee8/Misao OkawaNi bibi wa Kijapan aliyezaliwa mwaka 1898
Ndiye aliyekuwa akishikilia rekodi ya mtu Mzee zaidi duniani hadi pale Mwenyezi alipomtwaa
Huko Japan kuna wazee zaidi ya 50,000 wenye umri zaidi ya miaka 100 .....Wajapan siyo wa mchezo mchezo hawaendi makaburini mapema
Sisi huku serikali ya Mh. Sizonje inasimanga wazee eti wanamaliza dawa
Alifariki dunia 2015 akiwa na miaka 117
........
Cha makinia na wahamiaji haramu
In mpendwa voice
tukunyeemaa
Ilikuwa Juni 26, hakika hatosahaulika kwa wapenda soka walio wengi.R.I P Marc Foe kiukweli uliwaachia cameroon pengo lako na kwa heshima yako unakumbukwa daima ...
Dakika ya 73 cameroon akicheza na Colombia ilikuwa mbaya kwa wapenzi wa cameroon make pasipo kutarajia ndo mpendwa wetu ulitutoka .....Msaada wake ulikuwa mkubwa k2a club pamoja na timu ya taifa make magoli 8 kwa timu ya taifa ni mchango mkubwa
Kifo chake kilikuwa cha utata japo vyanzo vingi vilionesha tatzo kubwa lilikuwa HCM-nikimaanisha Hypertrophic cardiomyopathy ambapo huu ni ugonjwa wa kurithi (Genetic disorder ) ...halii hii husababisha mishipa ya damu hasa zile myocardium kuwa thick jambo ambalo inakuwa kazi kubwa au tatizo moyo kusukuma damu ipasavyo...
Heshima kwake ...
Umemsahau Tore Ande Flo! Halafu kitambaa alikuwa anavaa mbabe mmoja anaiywa Denis Wise.Daaaaaah moja ya mbegu katika mpira wa miguu ambayo imesaidia sana pale darajaniiij
Ebwanaaaaah udambwiidambwiii wa huyu jamaa lazima apewaa heshima darajani ....ndo huyu huyu Omri Obe Gianfranco Zola kiumbe aliyesaidia sana mimi nakukumbuka na golden goal lako dhidi ya westham dec 21 ,96
Sema ile combination ilikuwa hatar kati akae Roberto di Matteo , Gullit ndan na Petrescu weeeee
Asante sana mkuu kazi yako ni njema barikiwa1. Paolo Maldini ( Ac Milan #3 )
Miaka 25 akiwa na Milan huku akitwaa mataji 26 ilitosha kabisa kustaafisha jezi ya Nahodha huyo mwenye mafanikio zaidi klabuni hapo.
Mwisho
RIP Misao Okawa8/Misao OkawaNi bibi wa Kijapan aliyezaliwa mwaka 1898
Ndiye aliyekuwa akishikilia rekodi ya mtu Mzee zaidi duniani hadi pale Mwenyezi alipomtwaa
Huko Japan kuna wazee zaidi ya 50,000 wenye umri zaidi ya miaka 100 .....Wajapan siyo wa mchezo mchezo hawaendi makaburini mapema
Sisi huku serikali ya Mh. Sizonje inasimanga wazee eti wanamaliza dawa
Alifariki dunia 2015 akiwa na miaka 117
........
RIP MarieLouse Meilleur7/Marie Louise MeilleurAlizaliwa Agosti 29 mwaka 1880
Ni bibi wa Ufaransa mwenye asili ya Canada(naona wana wake wanatawala list tu)
Ndiye Mkanada aliyeishi miaka mingi zaidi kuwahi kutokea
Watu hawaachi fursa kuna manukato yanatumia jina lake
Alifariki dunia mwaka 1998 akiwa na miaka 117 na siku kiduchu
.......
Alikuwa rafiki yake, ndugu yake na jamaa yake wa kutukuka sana licha ya kuwa walikuwa wanacheza vilabu tofauti na hasimi vya Catalunya.RIP DANI Jarque...nimependa huyu mfungaji alivyomuweka rohoni,nadhani alikua role model wake na kuamini ushindi kila akimkumbuka
Sawa sawa mzima lakiniHabari Makapuku, bado niko huku nafanya utafiti wa makinikia.
Asante Shunie...Asante Mussolin
Natambua mchango wako!Asante sana mkuu kazi yako ni njema barikiwa
Sote tunategemeana!
Unachokiongeaa ni kwelTunaompinga Pele tunasababu za kutosha, ikiwemo ya kutocheza ulaya kwenye upinzani zaidi matokeo yake alijikita zaidi Amerika.
Pia kwenye mafanikio ya timu ya taifa, alibebwa sana na watu wengine. Kwakifupi alizungukwa na vipaji maridhawa.