Makapuku Forum

8. Marc Vivien Foe ( Man City #23 )

Baada ya kufariki ghafla uwanjani mwaka 2003 katika michuano ya ulaya, kiungo huyo wa Cameroon aliyekuwa anakipiga Man City kipindi hiko jezi yake ilistaafishwa kwa heshima yake.
R.I P Marc Foe kiukweli uliwaachia cameroon pengo lako na kwa heshima yako unakumbukwa daima ...

Dakika ya 73 cameroon akicheza na Colombia ilikuwa mbaya kwa wapenzi wa cameroon make pasipo kutarajia ndo mpendwa wetu ulitutoka .....Msaada wake ulikuwa mkubwa k2a club pamoja na timu ya taifa make magoli 8 kwa timu ya taifa ni mchango mkubwa

Kifo chake kilikuwa cha utata japo vyanzo vingi vilionesha tatzo kubwa lilikuwa HCM-nikimaanisha Hypertrophic cardiomyopathy ambapo huu ni ugonjwa wa kurithi (Genetic disorder ) ...halii hii husababisha mishipa ya damu hasa zile myocardium kuwa thick jambo ambalo inakuwa kazi kubwa au tatizo moyo kusukuma damu ipasavyo...

Heshima kwake ...
 
5. Javier Zanetti ( Inter Milan #4 )

Muargentina huyo, ametumia robo tatu ya maisha yake ya soka akiwa na Inter Milan kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2014 alipotundika daluga kama nahodha wa kikosi hiko huku akitwaa mataji ya kutosha. kwasasa ni Makamu mwenyekiti wa Klabu hiyo. Alipostaafu Inter Milan wakastaafisha jezi namba 4 kwa heshima yake na mchango mkubwa klabuni hapo.


 
4. Roberto Baggio ( Brescia #10 )

Straika huyu mahiri uwepo wake klabuni Brescia, ulisaidia timu hiyo kunusurika kushuka daraja mara tatu, magoli 45 katika mechi 95 za ligi kuu sio haba. Toka alipoondoka klabuni hapo mwaka 2004 hakuna mchezaji mwingine aliyevaa jezi hiyo.

 
Daaaaaah moja ya mbegu katika mpira wa miguu ambayo imesaidia sana pale darajaniiij


Ebwanaaaaah udambwiidambwiii wa huyu jamaa lazima apewaa heshima darajani ....ndo huyu huyu Omri Obe Gianfranco Zola kiumbe aliyesaidia sana mimi nakukumbuka na golden goal lako dhidi ya westham dec 21 ,96

Sema ile combination ilikuwa hatar kati akae Roberto di Matteo , Gullit ndan na Petrescu weeeee
 
Asantee twende kazii
 
Huyu kwao muitee "Pupi" ila ukimuita 'El tractor ' unakuwa sawa bin sawiaa 100%
 
Let's go mkuu
 
Aiseeeeeee
 
Shukurani mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…