1976 - Juliano Belleti anazaliwa.
Beki wa kulia wa zamani wa Barcelona, Chelsea na timu ya taifa ya Brazil.
Alitwaa Uefa Champions League mwaka 2006 wakati Barca ikiifunga Arsenal 2-1 huku yeye akifunga goli la Ushindi.
Pia ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2002 akiwa na Brazil.
Asante kwa historia mkuu Mussolin5 na mkuu BitozLeo Katika Historia:
Niwatakie Jumanne njema.
Hongera Mali kwa uhuru1960 - Mali yajipatia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Mfano mzuri hapa Tanzania, hebu tuwaangalie wapinzani Kwanza, jinsi wanavyowadanganya wafuasi.Waafrika sijui nani katuroga
Inawezekana tunguli zake zimepotea ndio maana hatuponi
....
HBD Asmir Begovic1987 - Asmir Begovic anazaliwa.
Kipa wa sasa wa Bournemouth ambaye pia amewahi kukipiga Chelsea na Stoke City.
HBD Frank Lampard1978 -Frank Lampard anazaliwa.
Kiungo wa kati wa zamani wa West Ham, Chelsea na timu ya taifa ya England.
Mmoja kati ya viungo bora wa Kiingereza kwa miaka 15 iliyopita.
Kombinesheni yake na Steven Gerrard kwenye timu ya taifa haikuwahi kuwa na mafanikio.
HahahaNapenda ru mbwembwe za SHIMBA na msemo wake "Sihitaji demu wa mtandaoni" halafu anawazodoa Husna na Sheds......huwa nachekag balaa
.......
HBD Juliano Belleti1976 - Juliano Belleti anazaliwa.
Beki wa kulia wa zamani wa Barcelona, Chelsea na timu ya taifa ya Brazil.
Alitwaa Uefa Champions League mwaka 2006 wakati Barca ikiifunga Arsenal 2-1 huku yeye akifunga goli la Ushindi.
Pia ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2002 akiwa na Brazil.
NjemaHabari habari
HBD Lionel Richie1949 - Lionel Richie anazaliwa.
Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani.
Pia alikuwepo kwenye kibao cha We are the world cha mwaka 1985 kilichoandaliwa na Michae Jackson " MJ " kwa ajili ya kuchangisha fedha kusaidia Nchi za Africa zilizokumbwa na Ukame na Njaa.
*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sasa bado nimekaa hapa seblennahisi bado wanaihangaikia Visa yangu*
1978 -Frank Lampard anazaliwa.
Kiungo wa kati wa zamani wa West Ham, Chelsea na timu ya taifa ya England.
Mmoja kati ya viungo bora wa Kiingereza kwa miaka 15 iliyopita.
Kombinesheni yake na Steven Gerrard kwenye timu ya taifa haikuwahi kuwa na mafanikio.
HBD Xaxana Gumao1946 - Xanana Gumao anazaliwa.
Ni Rais wa kwanza wa East Timor ( Timor Mashariki )
Au nimechapia?
Mutu flani hivi ya Husna
Sijui waligombanaga wakiwa beach huko naona couple yao imepoa km juisi ya feri
......
1987 - Asmir Begovic anazaliwa.
Kipa wa sasa wa Bournemouth ambaye pia amewahi kukipiga Chelsea na Stoke City.
Niambie Mr LeeNzuriii mkuuu
Ubarikiwe sana mkuu Bitoz..namshukuru Mungu kwa uwepo wako mahali hapa.Ahsanteni wote mlionitoa matongotongo asubuhi hii kwa mawili matatu
Mama Mchungaji maombi yako hadi sisi "wapagani" samtaimu yanatugusa
Mbarikiwe wote
Niwatakie siku njema
......
Morning mkuu AlkanjirMorning
1989 - Javier Pastore anazaliwa.
Kiungo fundi wa mpira kutoka PSG na timu ya taifa ya Argentina.
Ana kipaji kikubwa sana cha mpira ila makocha wengi wanamchukulia kawaida kutokana na kukosa spidi awapk uwanjani.