Makapuku Forum

1978 -Frank Lampard anazaliwa.

Kiungo wa kati wa zamani wa West Ham, Chelsea na timu ya taifa ya England.

Mmoja kati ya viungo bora wa Kiingereza kwa miaka 15 iliyopita.

Kombinesheni yake na Steven Gerrard kwenye timu ya taifa haikuwahi kuwa na mafanikio.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…