Makapuku Forum

TOP TEN
Wadau nilikuwa nacheki mpira now umeisha kwa Wajerumani kuwapiga Australia goli 3:2

hapa Tanzania Hasheem Thabeet ni maarufu kutokana na urefu wake aliojaaliwa na Mwenyezi Mungu....Pia kuna jamaa fulani mwaka Alikuwa gumzo baada urefu wake kumzidi kabisa Hashim kiasi cha kushindwa kupatiwa matibabu ya mifupa pale Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI}

Sasa leo nakuletea watu kumi warefu kuwahi kuishi duniani

NB;
"""""""""""""""""""""""""""""
Futi 1 = Inchi 12
Inchi 1= Sm 2.54
Futi 1 = Sm 30.48
""""""""""""""""""""""""""""""
Karibuni
.............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…