Makapuku Forum

Ni kweli maana ilikuwa ni vita kati ya Vietnam Kaskazini dhidi ya Kusini ambayo ilikuwa inasapotiqa na USA kwa kupewa vifaa vya kijeshi n.k
Vita ilianza siku Wamarekani walipoenda kuwasapoti Vietnam Kusini na vita kupigwa miaka kama 19 hivi
Kaskazini nao wakasapotiwa na China na Urusi na USA kuambulia kichapo na hivyo Kaskazini kuimeza Kusini na kuunda The Socialist Republic of Vietnam
Kiuhalisia ilikuwa ni vita kati ya Vietnam na USA
......
 
 
Kazi ipo tuliokimbia shamba ...ila hatuna namna asante kwa ushaurii
Wachina watu wabaya sana
Ila pia Tanzania haina tatizo la upatikanaji wa mchele sema watu wa mjini "usasa mwingi" mfano watu hata maji ya kunywa tu eti wananunua supermarket wakati maji ya bomba yamejaa tele na pia kufuga kuku ni rahisi lakini wanaita ni ushamba na hivyo wanaiahia kula/kununua kuku wa dawa pamoja na mizoga
Waache tu saratani ziwamalize

.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…