Yes aliniombea, nashukuru sana
Ila kupona kwangu mapema ni kutokana na fitina nilizopigwa pale 'ndugu' zangu waliposikia BH anakuja kunipa pole. Maneno yaliyotolewa hata ungekuwa wewe ungepona tu. Yaani nilisemwa kuzidi makinikia yanavyosemwa wiki hii. Anyway, hakuja na ninaimani waliko huko wamefurahi