Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Kwema mzeyaaKwema humu ndani?
Kwema mzeyaaKwema humu ndani?
Kwako piaWAGALATIA 6
9. Tena tusichoke katika kutenda mema ;maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimia moyo.
10.Kwa hiyo kadri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema.......
NAWATAKIA MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Ngojaa Bitoz amalize chemsha bongo
Mkushi wa kusiKwema mzeyaa
Kwema sana tuKwemaa kiongozi
Asante balozi kwa hii make ni zaidi ya chemsha bongo
Hii ngumu kumeza ...Wadau kama kawa week end inasonga
Ifuatayo ni picha/michoro yenye tafsiri fulani iliyojificha
Tusaidiane kufumbua![]()
Asantee za leo ngumu kumezaa kabisa ila ngoja tutoanee tongotongo ...![]()
Mwisho
.....
Partially. ..ukiona umependwa ujue kuna boya/maboya katendwa/wametendwa
Asantee za leo ngumu kumezaa kabisa ila ngoja tutoanee tongotongo ...
Hii kama bint anajilazimisha kujitwisha mzigo hasioweza make kamwili kadogo ila matiti kayatunisha nimerefer sisi tunavyotuna kukabiliana na hali fulan
TanzaniaMasasi ya wapi , uganda au Botswana ??
BroohZa siku mzee mwenzangu