Makapuku Forum

Habari za jumamosi
Kwema mdau
Afadhali umekuja.....kuna pipo zinafikiri huu uzi ni kwa ajili ya kushindana na watu fulani au kupeana maLIKE

Wewe ni mfano mzuri japo umeanzisha uzi lakini huingii kila muda ili kupost post bali unapopata muda tu....
Hivyo waelewe uzi sio wa mashindano ya kupost wala kupeana maLIKE bali kudumisha urafiki na kupeana maarifa mawili matatu
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…