eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Katibu baby ndani ya makapuku forumHodiiii
Katibu baby ndani ya makapuku forumHodiiii
Jamaa hajui kama ameachwa au laah.Nyie watu wawili mmenifurahisha sana hahahaha. Naona EMMYGUY unakimbia lawama.
Mkuu Th Name huyu jamaa youngblood hakawii kukugeuka.
youngblood anajiita sukari ya warembo wakati hajui hata halipo Nahrene hahahah

Asante kwa kujali mkuu, natumai upo mzima na wale wote wanaokuzunguka!.Pamoja Mkuu, mpe hi MANDELAA KIWELU.
Poa mandelaa kiweluHabari muda wakuu, mpo salama?
Tulia wewe.Jamaa hajui kama ameachwa au laah.
![]()
![]()
![]()
Anajipa moyoJamaa hajui kama ameachwa au laah.
![]()
![]()
![]()
Karibu ndugu. Hata mimi ni mgeni lakini nimekaribishwa vizuri sana. Pengine huko mbele itakubidi ujikaze uandike sawasawa kidogo. Hii "axnten" mh. May be makapuku hawana noma. Ngoja kuche wenyeji waje.
Nimeona mstari aiseeBandugu nimetua Eltreakwenyu sirudi tena. ..bye byèeeeee![]()
Karibu sana kijana. Huku burudani tu hakuna ubaguziHumu ndani kuna burudani ya kila aina cjui nimechelewa wp??hahahaha kila nikisoma comment zingine ni kucheka tu raha sana!!!!
Aisee.Bandugu nimetua Eltreakwenyu sirudi tena. ..bye byèeeeee![]()
Karibu sana mkuu.Humu ndani kuna burudani ya kila aina cjui nimechelewa wp??hahahaha kila nikisoma comment zingine ni kucheka tu raha sana!!!!
Nakuona umepumzika!
HahhahahaaaaNakuona umepumzika!
Hamna njia ya kichawi ya kuponesha jino?Hahhahahaaaa