Great point. Unaweza kuwa na likes chekwa lakini usiwe na mchango wa kukumbukwa.
Kuna uzi mwingine wa umeanzishwa kama Makapuku? FYI sio kosa langu kuuliza maana mimi humu huwa wa mwisho kujua kila kitu
Hata asipojua ni sawa. Wakati ukifika atajua tu. Sasa amepewa pesa na mapedeshee ya humu ngoja kwanza afanye biashara za watu. Maisha!Anajua km unamsubiri?!
Don't let them bully you Shem. Kila inapowezekana fight back. Usitishwe na makelele ya mara baba D wala nini. Ni makelele tu hayo Shem. Sasa anakuita Husna ya Shimba wewe ukimuita mzee wa totoz moto unawaka. ...
Ngoja wamiliki wajeMi namsubiri Aganza
NenoUpo sahihi....ila thread zote huanza kwa kasi zen hupungua taratibu na hata kupotea(sitabiri)
Mimi km mbunifu wa huu uzi sikubuni ili kupeana malike bali kupeana "maujanja* na kudumisha urafiki kutokana na watu kukosa sehemu moja ya kukutana
Like zilianza km utani tu wa baadhi ya watu wa mwanzo na kugeuka mazoea!!!
Ila kila mtu afanye lake
............
Najua. Nawachokoza tu. Wamempa pesa za mtaji sijui sasa wana-act as if wanammiliki. Ni shida.Ngoja wamiliki waje
Shemela leo unatema madini ya hatari sana (mazuri)ndefu sana mama mpaka ujue huyu ni mume sahihi kwangu au mke sahihi kwangu ni kumuachia Mungu tu
Nzuri shemeji, vip mmeruhusiwaHabari ya muda huu
Mbona unafunika mdomo? Ulikaa mbali na mswaki?
Hujambo lakini
Kwema kabisa, kwako vipKwema wotee ??
Hata asipojua ni sawa. Wakati ukifika atajua tu. Sasa amepewa pesa na mapedeshee ya humu ngoja kwanza afanye biashara za watu. Maisha!
Leave my Shem alone muzee ya Totoz