Makapuku Forum

kweli kabisa
 
ila mama mchuchu watu tupo tofaut kama ni mumeo mmeapa kwa shida na raha me naweza fanya jamaan
 
Upo sahihi....ila thread zote huanza kwa kasi zen hupungua taratibu na hata kupotea(sitabiri)

Mimi km mbunifu wa huu uzi sikubuni ili kupeana malike bali kupeana "maujanja* na kudumisha urafiki kutokana na watu kukosa sehemu moja ya kukutana
Like zilianza km utani tu wa baadhi ya watu wa mwanzo na kugeuka mazoea!!!

Ila kila mtu afanye lake
............
 
Hatuna mipango
Tunaishi kwa mazoea
.....
 
Shukrani kwa somo
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…