Makapuku Forum

Aisee
 
Very true ...shukran kwa julisho murua kabisaa

na uzuri akili zako za asubuh zinatema madini adimu ila subiri sasa mchawi wako aje husna ....yanaveeepaa
Mchawi wangu ni Husna au Aganza?

Madini yako pale pale na mimi kazi yangu ni kuzunguka zunguka huku Makapuku na kurekebisha rekebisha mambo. Najiita mwalimu-mwanafunzi (au mwanafunzi-mwalimu) huku Makapuku sema tu sina fimbo. Kwema lakini? Leo peremende mitaa ya wapi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…