Makapuku Forum

upo vizuri mkuu, hivi na wewe upo kwenye fani hiyo ya muziki?


Inaweza kuwa ndiyo au siyo kutegemea na umemaanisha nini. Niko kwenye fani kama mpenzi msikilizaji tu au mtazamaji na mahudhurio yangu kwa kweli si haba.

Sijui kupiga gitaa ukafurahia ila napenda kusikia likipigwa ndilo linanivutia.

Naimani nawe kama haupo kwenye fani basi kuna kitu kinakuunganisha na muziki wa mataifa au kaswida au gospel
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…