Makapuku Forum

Asante Obe kwa music
 
 
Nimepoteza kipenzi changu hapa JF
Kama kule MMU sijui
Kama kule MYW sijui
Kama kule intelejensia sijui
Ama kule J photos nitarudi nimtafute............
Daah!


Pole kaka!

I offer you my thoughts, prayers and well-wishes during this dark time in your life...

May my condolences bring you comfort and all jf members...

R i p
 
 
Kama ni Mkenya basi nadhani atakuwa Prof. Ali Mazrui (RIP) kama siyo Ngugi. Ana vitabu vingi vyenye mawazo ya kiAfrocentric; na sasa first born wake (Ali Mazrui Jr - Prof wa Rutgers University) ndiye anaendeleza libeneke!
 
Seya wa mivalo

Umeufanya usiku uwe mwanana mkuu Jorowe
 
Ikawaje ukajiita Bitoz mkuu?

Mwenyewe nilimpenda Thomas Muller tangu 2010 so wakati najiunga JF jina lake ndo likaja fasta
Sijajiita bali watu wananiita
Ndugu + marafiki kuanzia shule hadi chuo waliniita hivyo kutokana tu na jinsi ninavyovaa
Si unajua "majungu" ukiwa smart wanakuita bishoo/tozi...ukiwa rachafu/rafurafu wanakuita mshamba

Hivyo kwangu wala sikumind kuitwa toz
Na ndo sababu nalitumia hata hapa JF
.......
 
Weweweeeee
Obe inaonekana kaokota embe dodo chini ya mwembe kwa ulaini kama analia au kuna kingine kinachoendelea? Tangu jana nililiona fukuto la chini kwa chini likifukuta na sasa mnunurisho wa fukuto lile umeanza kutoa joto lenye kusisimua fikra. Na shemeji mtu naona nishapigwa chenga ya mwili. Mapenzi hata hivyo ni kikohozi. Ngoja tusubiri!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…