Makapuku Forum

8/Afrika Kusini
Achilia mbali dhahabu hawa jamaa na almasi pia wamo
Almasi yao ina weupe uliokolea na ina thamani kubwa sokoni....Jiwe/dini la kuvutia zaidi duniani lilipatikana huko Sauzi
Kampuni kubwa huko Sauzi ni De Beers ambayo inasemekana ina damu ya Kiyahudi ambao wanaamini almasi yote duniani ni ya Wana wa Israel na Mungu ameiweka kwa ajili yao...hawa jamaa wananyonya almasi dunia nzima hata akina Acacia ni baba mmoja mama tofauti!!
Huzalisha almasi Carats 8,000,000 kwa mwaka
.......
 
7/Angola
Nchi nyingine ya kusini mwa Afrika iliyobarikiwa madini ya Almasi lakini yenye maChenge kibao ambayo yanajinufaisha yenyewe na kizazi chao
Almasi zinapatikana kwa wingi kwenye majimbo ya Luanda Norte na Luanda Sul
Almasi yao kwa mwaka thamani yake hufikia hadi USD 1.3 billion
Kwa mwaka huzalisha almasi kiasi cha Carats 9,400,000
......
 
6/Zimbabwe Hii ndo nchi maskini # 2 barani Afrika kiasi cha kutoka kurejea kwenye Barter Trade (nipe almasi nikupe mbuzi) ila ikaamua kuanza kutumia dola ya Marekani na Rand ya Sauzi maana pesa yao imeporomoka hatari
Mgodi maarufu unamilikiwa na kuendeshwa na Rio Tinto
Almasi ya Komredi Mugabe hufikia hadi thamani ya USD 540 Milioni kwa mwaka
Huzalisha Carats 10,400,000 kwa mwaka
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…