Hata salam hutoiTatizo mmefunga macho ila mkifumbua tu hayo macho basi mtatuona na mkiacha hayo mambo yenu magumu kwetu
Shikamoo mama Mchuchu,pole na majukumuAsante Obeubarikiwe
Nimekumisi haswaaaamiss u Baba D jamaan
Naitaka hiiunaitaka ipi sasa mana hii huitaki kabisa au umeamua niiache tu hii
Ulifichama wapi leo mke mweeeBaba D za wewe apo unaendeleaje
kayachoka mke mwee mtolee uwa hilo muwekee avatar ya mdada asitamani vya watu
Huyu mama familia ujueeUlifichama wapi leo mke mweee
me zaidi Baba D jaman mpaka nakufwaNimekumisi haswaaaa
hahahah sitaki kuaminiNaitaka hii
acha tu mke mwee majukumu ya hapa na pale vipi lakini unaendeleajeUlifichama wapi leo mke mweee
kweli mke mwee we endelea kumuwekea uwa usije ukalia
poa poa Kiongozi.Kwemaa
ninachocheka unavyomuuliza fakalava kama ndio kamficha cuzoo
kayachoka mke mwee mtolee uwa hilo muwekee avatar ya mdada asitamani vya watu