Makapuku Forum

Asante Obe
ubarikiwe
 
Tatizo mmefunga macho ila mkifumbua tu hayo macho basi mtatuona na mkiacha hayo mambo yenu magumu kwetu
 
Aisee! Ni kiungo cha aina yo yote kinapokuwa transplanted? May be it is a moot question kwa vile hatujaweza bado kufanya transplant ya ubongo. Kuna mambo mengi bado hatuyajui kuhusu miili yetu, viumbe wengine na malimwengu kwa ujumla.

Kama jana hapa nilikuwa nawasikiliza wanasayansi wakijaribu kueleza maji yaliyojaza robo tatu ya uso wa dunia yalitoka wapi aisee ni kizungumkuti...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…