Na wanajua kuitumia hii hazina5/Afrika Kusini
Nafikiri kila mtu amezoea kuona simulizi za migodini kupitia tamthilia ya Isidingo The Need
Dhahabu ndo chimbuko la Jiji la Johannesburg lililoanzishwa 1886
Ardhini ina hazina ya tani zaidi ya 6,000
Huzalisha Kg 190,000 za dhahabu kila mwaka
......
HahahNikumbushe baadaye
Au unamuogopa mke mweeShemela acha tu ya malimwengu
Kwakweli shemela rangi hainizuii chochote acha niinywe tu pamoja kuwa upande mwingine me mnyamaChama chakavu
Hahaha hawawezi aiseeUnataka wale wa asubh wapate point
Shemeji vipi tena? Why are you throwing me under the bus jamani? Nikishinda utanikoma!Utakooma nahaushindi ng'ooo
Shemela wangu mie kama nakuona
Aisee6/Peru
Ni nchi ya Amerika Kusini
Kwa huko Amerika imezidiwa na USA pekee
Katika muongo mmoja uliopita uzalishaji umeongezeka kwa 400%
Huzalisha Kg 150,000 za dhahabu kwa mwaka
.........
Marakana5/Afrika Kusini
Nafikiri kila mtu amezoea kuona simulizi za migodini kupitia tamthilia ya Isidingo The Need
Dhahabu ndo chimbuko la Jiji la Johannesburg lililoanzishwa 1886
Ardhini ina hazina ya tani zaidi ya 6,000
Huzalisha Kg 190,000 za dhahabu kila mwaka
......
Hivi zipo rangi hiyo tuKwakweli shemela rangi hainizuii chochote acha niinywe tu pamoja kuwa upande mwingine me mnyama
Bitoz usidhani sikuoni hahaaa - mi mwenyewe kapuku. Watu wachache sana hapa TZ wanaelewa maana ya Ontario.7/CanadaAchilia mbali kilimo cha ngano ambayo wamediriki kuiweka kwenye bendera ya Taifa...Canada pia nimzalishaji mzuri wa dhahabu huko Amerika Kaskazini
Kiwango kikubwa huzalishwa huko Ontario....nafikiri mshaelewa kwanini jamaa fulani JF anajiita hivyo
Huzalisha Kg 110,000 za dhahabu kwa mwaka
......
Hiyo hiyo tu kijaniHivi zipo rangi hiyo tu
Aisee mzalendo kweli wa nchi yake4/UrusiHuku ndo kwa yule jamaa wa Kumsamehe gaidi ni kazi ya Mungu lakini kumpeleka gaidi kwa Mungu ni kazi ya Putin....sasa fikiria ukiiba dhahabu yake/yao itakuwaje
Ina hazina ya Tani zaidi ya 5000
Huzalisha dhahabu Kg 200,000 kwa mwaka
.......