Makapuku Forum

Ushasema "Jamaa Mfaransa"
Mihimili mitatu yote ipo dunia nzima tatizo ni Mihimili mmoja tu yaani Bunge kujaa wapuuzi ambao wanatanguliza maslahi ya vyama badala ya kuisimamia serikali na kutetea wananchi ndiyo maana wanachezewa na Rais

Km huamini Jaji Mkuu/Mahakama ina nguvu sawa au pengine kumzidi Rais mwambie Sizonje amteue Jaji Mkuu uone km atakuwa anaichezea Mahakama na kutoa vitisho
Yeye siyo mjinga kumuweka tu Kaimu Jaji Mkuu maana anajua ndo pona yake na wabunge hao hao wana uwezo wa kumuondoa Rais km anakwamisha Katiba mpya
Tatizo kuu la Tz ni katiba mbovu na wabunge mbumbumbu/wasio wazalendo
............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…