Huyo unayemtaka awekwe hagusiki, alishaambiwa wewe pumzikaIla hii ripoti ukiipitia inakuacha na maswali lukukii na kuzidi kukukanganya kwa mawazo yangu lakini ..mfano ripoti imesema kuhusu kuondoa hisa za serikal katika mikataba hii ya madini toka 15% mpaka 0% na mawaziri tofauti ok hatujui walifanya kwa maksudi au manufaa yapi ? Lakini sasa ukipitia sheria ya madini ya 73 yr na kurefer mikataba ya awali ya Acacia unaona Acacia wana hati ya kufanya hivo ..
Mambo ambayo tungelipata pa kuanzia kutokana na matokeo ya ripoti mfano nani waziri aliyeingia makubaliano ya 15% huo mwaka 1994 make nakumbuka vyema kulitokea mabadiliko ya mawaziri make 1990 hii wizara ilikuwa maji nishati na madini chini ya Jakaya Kikwete mpaka 1994 ...mwaka huo huo 1994 mpaka 1995 aliingia Jackson Makweta ...ingeweka wazi mwezi upi hii 94
Na wakati inaondolewa 10 nan alikuwa juu ya jambo hili ...waziri au mkuu wa nchi ??
Ila kiukweli Tanzania ina wenyewe kwa dizaini hii
Pamoja sana mzeewakungoaAsante mkuu Shululu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo.
Asante mama watoto wanguShukrani baba watoto na hongera binamu kwa udhamini mnono
Shemeji za wewe
Asante mkuuPamoja kiongozi, shurani!
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Lazima wahalifu wakae
JW ni miongoni mwa majeshi ya kizalendo zaidi Afrika
Siyo nchi nyingine ambazo wanajeshi ni waasi
.....
Mama mchungaji, bwana yesu asifiweMungu awasaidie wote mnaofunga na mpate thawabu sawa na mapenzi yake ;pole kwa wale ambao hawakujaaliwa kwa sababu mbalimbali, Mungu awasaidie, mbarikiwe sanasana kwa Ramadhan ,Ramadhan Kareem[emoji120]
Apo sasahivi niulize kama hawa mawaziri walisaini hiyo mikataba marais waliowateua wanapona vipi ??
Nawe pia mvuvi wa kambaleMorning wadau wote
Muwe na siku njema
....
Ng'ombe wakiongezeka nishtue..Nakupa muda fikiria..... Ngombe 40 nimeshawanunua,
Na wewe piaMorning wadau wote
Muwe na siku njema
....
Ila Kuna mmoja alisaini mkataba akiwa waziri, je hapo sheria inasemajeKasome katiba
Marais wana kinga ya kutoshtakiwa hivyo hata mkiwapeleka Mahakamani Jaji/Hakimu atawaambia hao marais hawana kesi ya kujibu na kuwaachia tu huru maana wanashtakiwa kinyume cha katiba
Hivyo kuwataja akina JK Na Mkapa ni kupoteza muda
Hivyo km mmemind mkawashtaki tu mbinguni
Tatizo ni katiba mbovu
...........
Asante mama mchungaji kwa kuyapitiaAsante mkuu Shululu ubarikiwe, asante Obe kwa udhamini ubarikiwe
Aisee1971 - Wakati wa Vita ya Vietnam: Gazeti la The New York Times linaanza kuchapa taarifa za siri za Marekani katika vita hiyo zilizojulikana kama The Pentagon Papers!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]....kwa kuwa nimedhamini magazeti leo kwanza nashukuru halafu namtaka kila Kapuku anywe chai na chapati kwa hela yake.
Good morning good people.
[emoji109] [emoji109] [emoji109]Ahsante sana mkuu shululu pamoja mdhamini Jorowe [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Pamoja sana Katibu mkuu [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Aisee, HBD and RIP Walter Rodney1942 - Walter Rodney anazaliwa.
Alikuwa ni msomi, mwanaharakati kutoka nchini Guyana.
Moja ya kazi yake ni kitabu cha " How Europe Underdeveloped Africa ". Kitabu ambacho Wazungu hawakukipenda.
Alifundisha chuo kikuu cha Dar Es Salaam miaka ya 1970's.
Aliuwawa kwa bomu lililotegwa kwenye gari lake mwaka 1980.
Kimacho1944 - Ban Ki Moon anazaliwa.
Ni mwanasiasa na mwanadiplomasia mahiri kutoka nchini Korea Kusini.
Aliwahi pia kushika wafhifa wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Pamoja sana mkuuMorning Makapuku.
Shukrani Mkuu Shululu kwa kunisogezea Font Ferd kiganjani.
40......hawatoshi? Unajua kule kwetu usukumani ni mahari ya mwanamke hayo.Ng'ombe wakiongezeka nishtue..