1942 - Walter Rodney anazaliwa.
Alikuwa ni msomi, mwanaharakati kutoka nchini Guyana.
Moja ya kazi yake ni kitabu cha " How Europe Underdeveloped Africa ". Kitabu ambacho Wazungu hawakukipenda.
Alifundisha chuo kikuu cha Dar Es Salaam miaka ya 1970's.
Aliuwawa kwa bomu lililotegwa kwenye gari lake mwaka 1980.