Makapuku Forum

DONDOO!!!!

Only found in Tz.
1. Mwanasheria wa serikali aliyehusika na kashfa nyingi za kifisadi
2. Bado ni kiongozi serikalini katika muhimili mmoja mkubwa kati ya mihimili mikubwa ya serikali.
3. Hajawahi kuchukuliwa hatua zozote za kisheria kuhusu tuhuma hizo.
4............(Ongeza na ya kwako)
 
Mheshimu shemeji yangu bana. Uchawi wa mumewe haumhusu


By the way, mumewe alikuwa mlinzi wako kwa muda mrefu. Hukujua kuwa alikuwa mchawi? Au ndiyo ilikuwa mojawapo ya qualifications?
Bwana shwemejii bhanaaaah...iwejee uwe na uchungu kwa mke wa mchawii kuliko yeye au ndo na wee usharogekaa ...


labda alikuwa anafanya kimyakimya na mm na mama D maombi yakianza utapendaa

Labda maombi yetu ylikuwa hayampi uhuru...unakumbukaa aliachaa mwenyewe
 
Unacheza na kichwa cha Havard university
 
Mimi sirogeki kirahisi mkuu
.

Yawezekana moto wa maombi ndiyo ulimfanya aache kazi. Endeleeni kushikana katika maombi na sala. Kusali pamoja ni njia mojawapo kuu ya kudumisha ndoa. Blessings!
 
Mimi sirogeki kirahisi mkuu
.

Yawezekana moto wa maombi ndiyo ulimfanya aache kazi. Endeleeni kushikana katika maombi na sala. Kusali pamoja ni njia mojawapo kuu ya kudumisha ndoa. Blessings!
ila vizuri kama hurogeki ila kumbuka wapo wanaopenda kurogeka ...sijasema kurogwaaaa

Mama shunie huyu wa mkongo nakumbuka kwenye harus alitukabidhi bibliaa na tunaitendea kazi

Sasa shedede mchawii kama alitest zali ndo hivo
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…