Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku habari zenu, embu tupeane mchongo niliounyaka kitaa fulani hivi...

Kuna bi mdashi mmoja kitaa ambaye sasa tunapumua kutomwona kwa kuwa alikuwa mtu wa mizinga hadi wakati mwingine anakupiga mzinga mara tatu kwa siku kwa kutokuwa na kumbu kumbu sawa sababu ya maisha kubana...poa tumemtoa tu kimtindo kwa kuwa ana wanawe Mariam na Anifa wana tunaponea hapo...

Sasa juzi kati baada ya bi mdashi kutoonekana kijiweni ikabidi tuibukie maskani kwake kuuliza kulikoni, kufika pale tunamkuta bi mkubwa ndo anajiandaa kutoka, Kiba mshkaji wetu anamuuliza 'Bi Mkubwa' vipi kitaa umekauka siku hivi...kageuka kututizama, kaweka chini kapu lake na kuanza kutupa mchongo...sikieni wana....

''Baada ya kupata elimu ya ujasiria mali iliendeshwa kijijini kwetu niliamua kujikusanya kwa kidogo nilichokuwa nacho na kuamua kujiingiza kwenye mradi wa ufugaji samaki'' akaendelea kusema kwamba hakupata ugumu namna ya kuanza kwa kuwa walikuwa na bwawa tayari ambalo zamani mdogo wake aliliandaa kufugia samaki ila akaachana na wazo hilo baada ya kupata mchongo mwingine wa boda boda!

Akasema ni rahisi tu kwa kuwa mahitaji ya ufugaji wa samaki aina ya kambale aliochagua kufuga yeye ni rahisi kulinganisha na aina nyingine...Mahitaji hayo ni:-
• Pumba ya mahindi
• Pumba ya ngano au mpunga
• Dagaa
•Soya.
•Mashudu ya pamba au alizeti.

Mwana mwingine akamuuliza kwani unaandaaje chakula hicho, ndipo bi mdashi akasanuka kwamba anachofanya ni ku:-

• Changanya malighafi hizo kwa pamoja.
• Saga hadi zilainike.
• Kanda kama vile unga wa kutengenezea chapati.
• Weka kwenye mashine ya kusaga nyama au kutengenezea tambi.
• Anika kwenye jua la wastani.
• Baada ya kukauka, vunja vunja kwenye vipande vidogo vidogo hasa kwa kuzingatia umri wa samaki unaokusudia kuwalisha.
• Tumia lishe hiyo kwa samaki mara tatu kwa siku.

Ila kikubwa yeye alifanya kwanza utafiti kujua wateja wake kabla ya kuingia kwenye aina hii ya ufugaji...
Nafikiri ni aina nzuri ya kujiongezea kipato cha ziada hasa ukizingatia msumu huu wa mvua mvua tulionao kwa sehemu kubwa ya nchi...

Cheers!
 
Makapuku habari zenu, embu tupeane mchongo niliounyaka kitaa fulani hivi...

Kuna bi mdashi mmoja kitaa ambaye sasa tunapumua kutomwona kwa kuwa alikuwa mtu wa mizinga hadi wakati mwingine anakupiga mzina mara tatu kwa siku kwa kutokuwa na kumbu kumbu sawa sababu ya maisha kubana...poa tumemtoa tu kimtindo kwa kuwa ana wanawe Mariam na Anifa wana tunaponea hapo...

Sasa juzi kati baada ya bi mdashi kutoonekana kijiweni ikabidi tuibukie maskani kwake kuuliza kulikoni, kufika pale tunamkuta bi mkubwa ndo anajiandaa kutoka, Kiba mshkaji wetu anamuuliza 'Bi Mkubwa' vipi kitaa umekauka siku hivi...kageuka kututizama, kaweka chini kapu lake na kuanza kutupa mchongo...sikieni wana....

''Baada ya kupata elimu ya ujasilia mali iliendeshwa kijijini kwetu niliamua kujikusanya kwa kidogo nilichokuwa nacho na kuamua kujiingiza kwenye mradi wa ufugaji samaki'' akaendelea kusema kwamba hakupata ugumu namna ya kuanza kwa kuwa walikuwa na bwawa tayari ambalo zamani mdogo wake aliliandaa kufugia samaki ila akaachana na wazo hilo baada ya kupata mchongo mwingine wa boda boda!

Akasema ni rahisi tu kwa kuwa mahitaji ya ufugaji wa samaki aina ya kambale aliochagua kufuga yeye ni rahisi kulinganisha na aina nyingine...Mahitaji hayo ni:-
• Pumba ya mahindi
• Pumba ya ngano au mpunga
• Dagaa sadolini 1.
•Soya.
•Mashudu ya pamba au alizeti.

Mwana mwingine akamuuliza kwani unaandaaje chakula hicho, ndipo bi mdashi akasanuka kwamba anachofanya ni ku:-

• Changanya malighafi hizo kwa pamoja.
• Saga hadi zilainike.
• Kanda kama vile unga wa kutengenezea chapati.
• Weka kwenye mashine ya kusaga nyama au kutengenezea tambi.
• Anika kwenye jua la wastani.
• Baada ya kukauka, vunja vunja kwenye vipande vidogo vidogo hasa kwa kuzingatia umri wa samaki unaokusudia kuwalisha.
• Tumia lishe hiyo kwa samaki mara tatu kwa siku.

Ila kikubwa yeye alifanya kwanza utafiti kujua wateja wake kabla ya kuingia kwenye aina hii ya ufugaji...
Nafikiri ni aina nzuri ya kujiongezea kipato cha ziada hasa ukizingatia msumu huu wa mvua mvua tulionao kwa sehemu kubwa ya nchi...

Cheers!
Ha haaa..... ! Mkuu swalama????

Cheers tooo braza
 
Makapuku habari zenu, embu tupeane mchongo niliounyaka kitaa fulani hivi...

Kuna bi mdashi mmoja kitaa ambaye sasa tunapumua kutomwona kwa kuwa alikuwa mtu wa mizinga hadi wakati mwingine anakupiga mzinga mara tatu kwa siku kwa kutokuwa na kumbu kumbu sawa sababu ya maisha kubana...poa tumemtoa tu kimtindo kwa kuwa ana wanawe Mariam na Anifa wana tunaponea hapo...

Sasa juzi kati baada ya bi mdashi kutoonekana kijiweni ikabidi tuibukie maskani kwake kuuliza kulikoni, kufika pale tunamkuta bi mkubwa ndo anajiandaa kutoka, Kiba mshkaji wetu anamuuliza 'Bi Mkubwa' vipi kitaa umekauka siku hivi...kageuka kututizama, kaweka chini kapu lake na kuanza kutupa mchongo...sikieni wana....

''Baada ya kupata elimu ya ujasiria mali iliendeshwa kijijini kwetu niliamua kujikusanya kwa kidogo nilichokuwa nacho na kuamua kujiingiza kwenye mradi wa ufugaji samaki'' akaendelea kusema kwamba hakupata ugumu namna ya kuanza kwa kuwa walikuwa na bwawa tayari ambalo zamani mdogo wake aliliandaa kufugia samaki ila akaachana na wazo hilo baada ya kupata mchongo mwingine wa boda boda!

Akasema ni rahisi tu kwa kuwa mahitaji ya ufugaji wa samaki aina ya kambale aliochagua kufuga yeye ni rahisi kulinganisha na aina nyingine...Mahitaji hayo ni:-
• Pumba ya mahindi
• Pumba ya ngano au mpunga
• Dagaa
•Soya.
•Mashudu ya pamba au alizeti.

Mwana mwingine akamuuliza kwani unaandaaje chakula hicho, ndipo bi mdashi akasanuka kwamba anachofanya ni ku:-

• Changanya malighafi hizo kwa pamoja.
• Saga hadi zilainike.
• Kanda kama vile unga wa kutengenezea chapati.
• Weka kwenye mashine ya kusaga nyama au kutengenezea tambi.
• Anika kwenye jua la wastani.
• Baada ya kukauka, vunja vunja kwenye vipande vidogo vidogo hasa kwa kuzingatia umri wa samaki unaokusudia kuwalisha.
• Tumia lishe hiyo kwa samaki mara tatu kwa siku.

Ila kikubwa yeye alifanya kwanza utafiti kujua wateja wake kabla ya kuingia kwenye aina hii ya ufugaji...
Nafikiri ni aina nzuri ya kujiongezea kipato cha ziada hasa ukizingatia msumu huu wa mvua mvua tulionao kwa sehemu kubwa ya nchi...

Cheers!
Haya ndiyo mambo yenyewe.
Thanks brother, nimekusoma.
 
61a2d1edd1865a32f8f7e68ff217b1b4.jpg

Mvua. Mvua..mvua
.............................
 
Hongera
Sikuiona thread yako
Nakupongeza kwa kupoteza muda kunidiscuss.....

Mimi sio mwenzako na huwezi kuwa km mimi

Usikonde nitakupa zawadi ya katoni ya maji ya Kapuku Pure Drinking Water unywe ........
 
Mkuu nimetulizana sana cina haja na mke wa mtu, nina mke wangu ninampenda ananipenda, macho yangu hayatamani mwingine wengine rafiki zangu na mashemu na madada tu
cc
Ameizing
Lizzie
Nahrene
Linamo
Ximena
Valentina
Patience223
Mzee wa movies hahahaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom