Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Ndiyo mkuu...sikukuuMnaungama?
Ndiyo mkuu...sikukuuMnaungama?
Tuko bomba...vipi huku utokakoJamani wazima humu. Nime wakosa sana.
Kabisa kijana hataki utani kazi kazin tu...alaa...kumbe Th Name kuna kikazi wanapiga na lizziebettie mchana huu..
Hahaha nimekusoma mkuu, ninasikitika pande hizo simo kabsaa, najua hapo kuna wadudu wa unga, ukiingia tu wanakimbilia kukamata bakora nami huwa spendi utani uliozidi nitazabua mtoto wa mtu bure nipate matatizo mkuu,,,napataga habari kuwa uuzaji holela unaendelea hasa underground floor sjui kiusahihi lknSi kuingia kwa maana ya kuingia...Ila ukipata wasaa pitia pale kuanzia saa 2 hivi....Si unajua wasawhili wanasema fahari ya macho...
Unamfahamu?Jimena unajua anamvuto wa tofauti sana, dah nisimsifie sana nisejerudia kosa, kwani nimeacha ni mtu safi sasa
Tuko bomba...vipi huku utokako
Umegonga kwenye point zote mkuu...Hahaha nimekusoma mkuu, ninasikitika pande hizo simo kabsaa, najua hapo kuna wadudu wa unga, ukiingia tu wanakimbilia kukamata bakora nami huwa spendi utani uliozidi nitazabua mtoto wa mtu bure nipate matatizo mkuu,,,napataga habari kuwa uuzaji holela unaendelea hasa underground floor sjui kiusahihi lkn
Huku uendako kusikupe shida utapajua muda ukifikaAsante.Nitokako kwema.. Niendako bado sipajui mkuu
Huku uendako kusikupe shida utapajua muda ukifika
Wine nzuri ni Ile inayokaa muda mrefu...sasa hiyo yake si itakuwa povuKabisa kijana hataki utani kazi kazin tu...

Mi mwenyewe nimebaki kukodoaSWALI SWALI :
Mbona leo kwenye profile zetu hatuoni JOINING DATE YA JF.....Au ndo janja ya kuficha aibu ya wakongwe ?
Angalieni profile zenu km ni kweli
Hatumuadd mtu
Au tukakinukishe kule MEMBERS ONLY
![]()
![]()
![]()
![]()
................
.................
Style ya popo kanyea mbinguValentina
Shemeji yangu(mmeo) umeugana nae kwa style ipi kwa mfano?
![]()
![]()
![]()
![]()
siku hizi macho yako hayaoni vizuri? huyo ni PAPA.Shida yangu huo mzigo au furushi la bangi mkuu..hahaha jokes
Mkuu ibaki hivyo hivyo na sio zaidi ya hapoUnamfahamu?
Tumerudi manuuKuna walio aga kabisa kuwa watakuwa chumban na wenzi wao mfano Th Name yeye aliweka bayana kabisa kwamba hatakuwa hewani kwa mda maana kuna swala watakuwa wanashughulika nalo kati yake na lizziebettie
mmefanya vizuri?![]()
![]()
![]()
tumeimaliza sasa.