Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baba D me ninaishia hapa siendelei tena kusoma nina ombi nilikua nataka niendelee kusoma mpaka nikutane na story lakini nimeshindwa mimi naomba nikopie mume wangu mpenzi niisome naogopa nisije nikaendelea nikakutana na mazito zaidi ya haya mapigo ya moyo yameshaanza kubadilika nisije nikakufwa ghafla ndio mana ulirudi nyumbani hauna hela wala wallet kumbe uliziacha huko na na kina kidawa na cheusi kwenye nyimbo za vvu ila mimi navumilia mengi jamaan
Nyonga mkalia ini jaman mm sio mm ni obe ameyasema ...alafu mm nilivorudii si nimeweka mia 9 mezan na leo tunafunga??

Bhinamu wako lakin alisema hawez kukuacha ukiwa na aman...wallet anayo bhinamu ...

Mm nakupenda wewe cheupe bonge wangu kivurugee wa mtima wangu
 
Nyonga mkalia ini jaman mm sio mm ni obe ameyasema ...alafu mm nilivorudii si nimeweka mia 9 mezan na leo tunafunga??

Bhinamu wako lakin alisema hawez kukuacha ukiwa na aman...wallet anayo bhinamu ...

Mm nakupenda wewe cheupe bonge wangu kivurugee wa mtima wangu
mia 9 inasaidia nini hata tigo hawajazi halaf kufunga huwezi kukurupuka tu sababu eti huna hela umezihonga huko ulipokua kufunga lazima umuombe Mungu apokee funga yako hya ya ghafla md siwezi kufunga sababu nitakuwa nimefunga bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom