Makapuku Forum

Huwezi jua kwamba ni mke wa mtu mpaka uambiwe... Na ukiambiwa mpaka uthibitishe.... Ukithibitisha kama wewe ni mstaarabu unaweka heshima..... We mkolomije vp?
 
Sawa bwana.... Wacha nikuache na 'shemeji' yako kwa sababu wewe "una busara sana".......Shunie ni dadaangu kwa sababu sote tunatoka Tanga.
Kumbe wote mnatoka sehemu moja. Ndo maana ulitaka kumng'oa nini Mzee wa kung'oa?

Mambo yangu na shemeji pamoja na busara zetu (ulizoziweka kwenye mabano) we ziache tu. Tunajuana wenyewe. Uwe na siku njema yenye mafanikio...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…