Makapuku Forum

ID ya zamani bila shaka itakuwa ulishamtolea nje na sasa ameamua kujisulubu upya. Ila wanawake kusema kweli mna kazi. Imagine kutongozwa hivi kila siku. Mi ningekuwa napigana kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani mkuu kidogo

If ungelikuwa ni wa kike basi hiyo dhana ya kupigana isingekuwepo kabisa labda ungekuwa unatoa lugha kali kali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…