Kiukweli nikiangalia yanayofanyikaga bungeni nikaangalia na jitihada za wenzetu wanavyokimbiaTuko mbali ata miaka mia hatufikiii
Kweli sisi hatuko silias ...Kiukweli nikiangalia yanayofanyikaga bungeni nikaangalia na jitihada za wenzetu wanavyokimbiakatika suala la maendeleo, huwa natamani yale majaribio ya masafa mrefu ya North Korea yaweyanafanyika pale Dom.
ngoja kwanza anijibuUsinifanyiee hivo nitag plz
China wazee wa daraja2/Tanjin Grand Bridge
Ni daraja la reli linaloziunganisha Langfang na Qingxian
Ni njia ya treni ya spidi kutoka Beijing hadi Shanghai....Sisi huku huita SGR
Lina urefu wa Km 113.7
.......
Aisee tunasindikiza wenye maendeleo. Tena na hizo siasa zetu za kikombe cha Babu wa loliondo bado sana.
Weekends itakuwa safi. Wazo zuri na nitalifanyia kazi kwa sababu hapa inabidi kusoma kidogo na siyo blah blah...Ni segment nzuri, inavutia! Najua kwa sasa itakuwa na cases nyingi za majuu, ila unaweza saka stupid Criminals wa hapa kwetu au Africa ukichanganya itakuwa poa zaidi. Presentation, iko vizuri sema I'll tufaidi lazima uangalie muda wa kuitupia, depending on your time etc.
Wazo la kifalsafa, limekaa POA. Vipi ikiwa hiki kipengele kinakuja once a week let's say weekends? Ni juu yako kuamua
Nimo wpNa wewe umoo
Wamenituma wapi kwani humu wanao ingia wana Namba tofauti au wao ni specialAlafu uende uwape mrejesho waliokutumaa
Inategemea na mtazamo uliokufanya uje leo...Wamenituma wapi kwani humu wanao ingia wana Namba tofauti au wao ni special
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI
Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI
kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,
refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu.
Nisipowadanganya Nyie ntamdanganya Nani sasa...?
Kapuku forever .....
Lakini mkizidi tutawachapa bakoraMzee bila vijana watukutu nyumba hainogi. Makapuku hawa.
HatudanganyikiMECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI
Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI
kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,
refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu.
Nisipowadanganya Nyie ntamdanganya Nani sasa...?
Kapuku forever .....
Nimewasili rasmi mkuuUpo?karibu sanasana
Muite shemejNimewasili rasmi mkuu
Karibu tupoNimewasili rasmi mkuu