Makapuku Forum

Sina cha kuongeza ...asante bhinamu

Kapuku forever
 
Nimekuja mdau, huyu denoo49 muache afikiri anafanyiwa screening , mimi nikifanyiwa hadi x-ray na bado hata maua yaani flowers nayaonaga yananipita tu kama msafara wa rais
Mkuu bahati ya mwezio haitakiwi kulaliwa mlango wazi. We nadhani atakuwa alianza kukufanyia "screen shot" tena pengine kuanzia kwenye profile pic yako. Ina ukakasi mkubwa sana.
 
Mujarabu. Swadakta.
Motisha kumbe sio pesa tu.
Ukikosa mgegedo kumbe ni shida.
 
Ukiomba kwa bidii unapewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…