Makapuku Forum

Honestly sijawahi angushwa na sijui kama itatokea niangushwe na wewe. Maombi mjarabu kabisa mpaka yamenitoa usingizini ghafla. Ndio maana huwa najisema "husinikubali haraka"
Eeh Baba Mungu sikiliza na bariki mahitaji ya nafsi zetu si kwa mapenzi yetu sisi, bali kadiri ya mapenzi yako Baba. Pokea na bariki Sala na maombi ya jamii hii, ili vipepee kama moshi wa ubani mbele ya uso wako. Ameen.

Barikiwa sana Mama Mchungaji tumaini langu.

"ALIYEPUNGUKIWA NA AKILI UWAONEA WATU"
 
Amen asante
 

Tuendelee kufanya maombi mama chungaji?

"ALIYEPUNGUKIWA NA AKILI UWAONEA WATU"
 
Amen
 
Zamani nilikuwa nalaumu sana mfumo wa Wamarekani ambako kuteuliwa/kugombea nafasi ya uongozi wa aina yo yote ni lazima uwe na kazi inayoeleweka; na mara nyingi uwe na pesa zako mwenyewe za kutosha. Kumbe wako sahihi. Ndiyo maana wenzetu wale kakosa kadogo tu mtu ameshajiuzulu. Na kuteuliwa halafu wakakataa ni jambo la kawaida. Trump amehangaika kweli kumpata mtu wa kumteua kushika u director wa FBI. Kila anayemuomba jamaa wanakataa. Why? Kwa sababu tayari wana hela zao. Sasa hawa wanasiasa wetu hawa wachumia tumbo ni shida tupu yaani hata aibu hakuna.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…