TayariNipm wenu
?kwema sana za kwako
10/Ngamia
Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......
Na shunie kala kuku
Dahhivi umekuaje siku hizi mbona unapenda kucheka hivi
....sema pole pole wasikusikie wanaonitaka wakafuata mkumbo wako.
BTW nilikutaka kimyakimya vipi kunikataa unakodi spika za adhana
Unapotea sanaNdio
Leta manenoTOP TEN
Waislamu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu ....yaani wao mchana hushinda njaa ila usiku wanakula balaa
Kuna usemi kwamba binadamu hawezi kuvumilia mambo matatu, yaani njaa,Ny*g* na usingizi
.
.
Sasa tuwaangalia wanyama kumi wenye jeuri ya kukaa muda mrefu bila kula na pengine hata bila kunywa maji
Karibuni
......
Nimeokota saa ya mshale inafanana na yako maeneo yetu yalee
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/21470178Huo uzi unaouponda Makapuku unaitwaje? (Hapa nimeuliza swali, ukijibu usinulize kama najua masuala ya link na blah blah nyingine)
Aisee8/Mbwa
Mbwa naye ni jeuri aisee....jeuri yake inatokana na kuwa na uwezo wa kurekebisha joto la mwili pindi awapo kwenye njaa ili iweze kuhimili hali hiyo
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 117
........
Ndo maana nimesema inafanana...uliokota na mkono?
Maana saa yangu kuanguka labda mkono uangushwe
Kwelii mkuu huyu jamaa hafai10/Ngamia
Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......
Wee muachee bhinamu...kaagiza na ndizi za kuchoma, mwache afurahi. Ndo ajue anajikosesha habari zako tukiwa kule ulipookotea saa inayofanana na yangu
Duuuuuuh ..9/Homo Sapiens
Kizazi cha karne hii cha chipsi mayai cha matozi na masistaduu sijui kama kinaweza kukaa na njaa japo siku 3 tu
Bhagat Singh mwaka 1929 aliweka mgomo wa kutokula hunger strike ambao pia ulichochea kupatikana kwa ihuru wa India 1947
Ilikuwa ni baada ya kuswekwa gerezani kwa kosa la Mauaji na wakoloni wa kiingereza
Alikaa siku 116 bila kula hadi pale serikali iliposarenda na kufikia naye mwafaka
Alipoteza uzito wa Kg 60
.......