Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ingekuwa hapa Bongo tungesema Mzee wa Chattle anafanya yake!
Fainali ya 2002 aliionyesha Dunia kuwa yeye ni beki bora wa kuliaBeki wa kupanda na kushuka akifanya ile kitu inaitwa Azuu mataa Azuu kitaa.
hahahha halaf umekuaje siku hizi kila kitu ushahidi me nilikua kote koteMama mchuchu mama maflower anakuonaaaa
Au nilete ushahidiii
Kutoka kwa nan ...mm salam nazipata ukukuna salaam zako kwenye uzi ule wa sakayo
we nenda ukaangalie kaniambia anakusalimia kwa nini hupokei simu zakeKutoka kwa nan ...mm salam nazipata uku
Ni kweli mkuu!HBD Mike Pence, jamaa yupo cool sana na diplomatic anaijua sana
Unafikiri mazuri hayoo ...bhinamu obe ukujeewoiiiiiii![]()
mzee wa ma flowers na kweli wanajisumbua my love wako alikua anajibu asante tu au emoj ya ngumi ila mukongo shikamoo hivi umenpa nini mama mchuchu lakini
WoooooooraHilo ni jukumu langu .... Yaani sihitaji kukumbushwa....sema jengine baby.


Unaenda wapi ...baba kiroho safi tu mimi kushare siwezi kama unaongeza me najitoa
KweliiiIngekuwa hapa Bongo tungesema Mzee wa Chattle anafanya yake!
Watakao fika mbiguni wachache aiseeehhahahha halaf umekuaje siku hizi kila kitu ushahidi me nilikua kote kote
Pamoja KomrediAsante kwa leo katika historia mkuu musolini Uwe na siku njema
hizo hisa nazisamehe baba angu nakuwa mtawa we kama unaongeza mke mdogo ila jua mimi sipoUnaenda wapi ...
Kushare wewe una hisa kubwaa
Kitengo cha figisu na propaganda kilikuwa dhaifu.![]()
![]()
Mwisho wa siku West Indies wakabeba ndoo na kuwa mabingwa wa kwanza wa dunia
Nadhani Waingereza walishindwa kufanya figisu zao za kwenye soka maana pindi wakiandaa mashindano hupenyeza sana fitina
.....
hahahha aje tu mwenyewe alikua anajua nipo upande wa mukongo mm siwezi muangusha mukongoUnafikiri mazuri hayoo ...bhinamu obe ukujee
Pamoja mkuuAsantee mkuu
kweli kabisaWatakao fika mbiguni wachache aiseeeh
1977 - Watu takribani Milioni 500 Duniani wanashuhudia mubashara matangazo ya Sherehe za kutimiza miaka 25 toka Malkia Elizabeth wa II kupewa madaraka ya kuongoza nchi ya Uingereza na Jumuiya ya Madola.