Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1981 - Jeshi la Anga la Israel lashambulia na kuharibu Vinu vya Nyuklia vya Iraq katika Shambulizi la kushtukiza lilijulikana kama Operesheni Opera au Operesheni Babylon.
Askari 10 wa Irak walipoteza maisha pia na raia mmoja wa Ufaransa
......
