Makapuku Forum

Yaishee mkuu ....

Msifie aganza
 


Ha ahhahahaha, mwanamke mweupe ukashindwa kuuza mashamba ya nyanya Hongera. Mimi niliwahi kutokomea na hela za sanda, yaani ilibidi marehemu azikwe na shuka la hospital



*NB: sio mimi mimi, ni mjombaangu*
 
Ha ahhahahaha, mwanamke mweupe ukashindwa kuuza mashamba ya nyanya Hongera. Mimi niliwahi kutokomea na hela za sanda, yaani ilibidi marehemu azikwe na shuka la hospital



*NB: sio mimi mimi, ni mjombaangu*
[emoji15] [emoji15] this is not fear!!! Nyie ndioo mnaosababisha wanawake wajichubue[emoji87]
 
ila msukuma zamani ulikua haupo hivi kabisa hivi unakumbuka kipindi sijafunga pm tulikua tunachat sana sijui kama unakumbuka
 
mjomba ako yupiii binamu [emoji15]


Ni huyu huyu unayemjua wewe, muulize vizuri. Maana alitokomezwa na alipoonekana tayari tumeshaanua matanga. Ikabidi tu atulie ndo kumpata cheusi (hii ni kabla hajakupata wewe)

Happy nakupa historia, mambo ya zamani sio ya sasa usijefanya ishu ukanigombanisha na anko wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…