Aisee1939 - Jaji Joseph Force Crater anatangazwa rasmi amefariki Dunia baada ya kutafutwa bila mafanikio baada ya kupotea kwa miaka 9.
Jaji Crater alipotea mwaka 1930 alipokuwa na kashfa za kisiasa na hakuwahi kuonekana tena, hali hiyo ikawafanya FBI na Polisi kumtafuta lakini baada ya miaka tisa toka kupotea kwake wakatangaza amefariki.
Jalada la Kesi yake lilikuja kufungwa miaka 40 baadae baada ya kupotea kwake.
OMBI:
Mkuu Bitoz itapendeza siku tukapata top 10 ya watu waliopotea na kushindwa kuonekana tena. Wapo akina Jimmy Hoffa na DB Cooper.
RIP Kennedy1968 - Robert F. KENNEDY anafariki Dunia siku moja baada ya kupigwa risasi huko Los Angeles alipokuwa anafanya kampeni za Urais.
The Kennedy Curse:
Huu ni msemo unaorejelea Vifo tata vya wanafamilia wa Kennedy.
Wanafamilia wengi wa Ukoo wa Kennedy wamekufa vifo vyenye utata mkubwa na vya kuhuzunisha. Inaonekana kama kuna watu kadhaa nyuma ya mpango huu wa siri ambao hawakuipenda kabisa familia ya Kennedy ishike madaraka ya aina yoyote nchini Marekani.
Jamaa alikuwa fundi sana1969 - Fernando Redondo anazaliwa.
Kiungo fundi wa Kiargentina ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid na Inter Milan.
Anakumbukwa kwa kumpiga tobo beki wa Man Utd Hening Berg kwa kisigino katika pambano la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
RIP Louis1941 - Louis Chevrolet anafariki Dunia.
Alikuwa ni dereva na muasisi wa kampuni ya magari ya kimarekani ya Chevrolet ambayo ni wadhamini wakuu wa Man Utd.
2016 - Taarifa mbalimbali zisizo rasmi zinadokeza kuwa Bibie Hillary Clinton huenda akatangazwa kama Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Democrats na kuwa mwanamke wa kwanza kufanya hivyo katika miaka 240 ya historia ya Marekani.
Asante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu diktetaLeo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
Kuna viini macho tu
Kwetu mfumo wa vtama vingi ulianza 1992 lakini hadi leo hatuna Time huru ya Uchaguzi
.....
1969 - Fernando Redondo anazaliwa.
Kiungo fundi wa Kiargentina ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid na Inter Milan.
Anakumbukwa kwa kumpiga tobo beki wa Man Utd Hening Berg kwa kisigino katika pambano la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
1941 - Louis Chevrolet anafariki Dunia.
Alikuwa ni dereva na muasisi wa kampuni ya magari ya kimarekani ya Chevrolet ambayo ni wadhamini wakuu wa Man Utd.
Uko vizuri mzee ila kwa sasa barcelona ni balaa
Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
Madrid alisonga mbele mwisho wa siku alibeba ndio
Kipindi hicho alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
....
Pamoja kiongoziAsante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu dikteta
Haikuwa gemu hii, game Ronaldo aliyopiga hat trick ilikuwa ni 2003
Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
Madrid alisonga mbele mwisho wa siku nae nafikiri akatolewa
Kipindi hicho Madrid alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
Ila Redondo keshawahi kubeba UCL wakati Ronaldo nasikia hajawahi
....
Ramadhani Chombo hujiita Redondo akijifananisha na mchawi huyu wa soka kutoka Argentina.
Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford kiasi hadi mashabiki wa Utd wakasimama na kumpigia makofi
ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
Madrid alisonga mbele mwisho wa siku nae nafikiri akatolewa
Kipindi hicho Madrid alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
Ila Redondo keshawahi kubeba UCL wakati Ronaldo nasikia hajawahi
....
Masihara hayoUko vizuri mzee ila kwa sasa barcelona ni balaa
Siku hazigandi
SawaHaikuwa gemu hii, game Ronaldo aliyopiga hat trick ilikuwa ni 2003
hahahah hamna shemelaKesi sasa
kuwa kimya ni kuepusha mengi sanaKuepusha dhahama
hahahahPressure
mama mchuchu jamaan usitufanyie hivi
Hawakucheza wote Madrid kwa kumbukumbu zanguHaikuwa gemu hii, game Ronaldo aliyopiga hat trick ilikuwa ni 2003
ukija na kuondoka kama unavyofanya hutaelewa mkuu weka kambi hivii kwa mda mrefuHivi huku mnafurahia vitu gani,mbona mazungumzo yenu siyaelewi,jamani nimeuliza tu kwa sababu mimi ni mgeni huku