Aisee Mungu ni Mkubwa, ameumba kila kiumbe kwa namna yake!3/Spookfish
Huyu anapatikana kwenye kina kirefu
Macho yake yana diverticulum hivyo kuweza kukusanya mwanga kwa wingi
.....
Asante mwenyekiti
Pamoja mkuu1/Mantis Shrimp
Kwa kiswahili anaitwa uduvi
Ni uduvi wa kundi la Stomatopodia
Wana kuacha kali zenye uwezo wa kuvunja glasi au kukigawanja kidole cha binadamu sehemu mbili
Macho yao ni ya kuvutia
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Rukutane kesho
Mwisho
.......
Asante mchunga mbuzii1/Mantis Shrimp
Kwa kiswahili anaitwa uduvi
Ni uduvi wa kundi la Stomatopodia
Wana kuacha kali zenye uwezo wa kuvunja glasi au kukigawanja kidole cha binadamu sehemu mbili
Macho yao ni ya kuvutia
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Rukutane kesho
Mwisho
.......
Aisee3/Spookfish
Huyu anapatikana kwenye kina kirefu
Macho yake yana diverticulum hivyo kuweza kukusanya mwanga kwa wingi
.....
Thanks bitoz1/Mantis Shrimp
Kwa kiswahili anaitwa uduvi
Ni uduvi wa kundi la Stomatopodia
Wana kuacha kali zenye uwezo wa kuvunja glasi au kukigawanja kidole cha binadamu sehemu mbili
Macho yao ni ya kuvutia
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Rukutane kesho
Mwisho
.......
Bundi huyoo10/Tarsier
Sijui kwa kiswahili anaitwaje
Anapatikana huko Kusini Mashabiki mwa Asia katika misitu ya mvua akila mijusi,wadudu na baadhi ya ndege ambao hawaruki sana
Ana macho makubwa kuliko mamalia yoyote kulinganisha na umbile lake
......
Wairan wanajuaWaarabu kichwani weupe tu
Wanagombanishwa na USA nao hawashtuki km wapo kimaslahi zaidi
.....
Shemeki za jioniMi napata mbona
Asante bhinamuuMuziki Huchangamsha
Ni Jumatatu kama jtatu nyingine sema tu tarehe ndo zimebadilika. Hivi ndivyo tunavyoelekea kuikata nusu ya huu mwaka. Naamini wote tuko poa kabisa bila kujali huu upoa u-hali (state) gani.
Wakati napitia post za nyuma humu, nikavutiwa na post moja ambayo mchangiaji anauliza leo kumepoa humu, well, leo ni jumatatu na jumatau ikianza kwa kuchangamka jua weekend yako hukuitumia ipasavyo, its blue Monday and not blue Mondray for GS.
Kutokana na hali hii ya leo basi nikaona sio mbaya sana katika kipengele cha muziki leo basi tuburudike na Sebene kidogo, na bila hiyana nakuletea sebene la Twanga Pepeta chini ya 'le jenerali' Banza Stone (RIP) na gitaa la mtaaluma Shakashia. Andrew Shakasjhia ni mkali sana kwenye gitaa la solo na hata gwiji said Mabera wa Msondo alithibitisha hilo (hii siku nyingine tena)
Tonane baadaye kidogo wadau wema wa Makapuku
Karibu
I will be working tonight,
Bundi huyoo
Mutu na pesa zake mambo ya shoka moja mbuyu chini binamu asante sanaMuziki Huchangamsha
Ni Jumatatu kama jtatu nyingine sema tu tarehe ndo zimebadilika. Hivi ndivyo tunavyoelekea kuikata nusu ya huu mwaka. Naamini wote tuko poa kabisa bila kujali huu upoa u-hali (state) gani.
Wakati napitia post za nyuma humu, nikavutiwa na post moja ambayo mchangiaji anauliza leo kumepoa humu, well, leo ni jumatatu na jumatau ikianza kwa kuchangamka jua weekend yako hukuitumia ipasavyo, its blue Monday and not blue Mondray for GS.
Kutokana na hali hii ya leo basi nikaona sio mbaya sana katika kipengele cha muziki leo basi tuburudike na Sebene kidogo, na bila hiyana nakuletea sebene la Twanga Pepeta chini ya 'le jenerali' Banza Stone (RIP) na gitaa la mtaaluma Shakashia. Andrew Shakasjhia ni mkali sana kwenye gitaa la solo na hata gwiji said Mabera wa Msondo alithibitisha hilo (hii siku nyingine tena)
Tonane baadaye kidogo wadau wema wa Makapuku
Karibu
I will be working tonight,