Ila kwa kauli yako unataka kusema Jakaya Kikwete ambaye anapenda sana mahaba (ukoko wa juu baada ya wali kupaliwa) na maharage bado ni mtoto? Au hukuwahi kusikiza mahojiano yake
Bhinamu kipenz mm nimekasirika sana unakumbuka jana tulivyojitahd kwa mama mchuchu kumbe yeye maflower kayatunza ....umeona replay alivomuona limukongo ??